loupa
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 121
- 72
Habari ndugu wana Jamii Health,
Mimi nina mtoto mwenye umri wa miezi 2 na wiki 2, tatizo la mtoto wangu ni kwamba hatoi haja kubwa, yaani ananyonya tu ila hakuna haja kubwa, ila mkojo anakojoa kama kawaida.
Sasa naomba wenye uelewa na hili labda tatizo ni nini? Nitumie mbinu/dawa gani mtoto awe katika hali ya kawaida?
Mimi nina mtoto mwenye umri wa miezi 2 na wiki 2, tatizo la mtoto wangu ni kwamba hatoi haja kubwa, yaani ananyonya tu ila hakuna haja kubwa, ila mkojo anakojoa kama kawaida.
Sasa naomba wenye uelewa na hili labda tatizo ni nini? Nitumie mbinu/dawa gani mtoto awe katika hali ya kawaida?