Ingiliti
Member
- Aug 18, 2022
- 36
- 60
Habari zenu members wa Jf,
Kuna shida inatanitatiza kwa mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka mitatu, ni kwamba amekuwa na kawaida ya kutokwa na maji meupe kama maziwa sehemu zake za siri kila baada ya muda flani, nimejaribu kumpeleka hospital mbalimbali naambiwa U.T.I anapewa dawa na muda mwingine sindano lakini tatizo linajirudia tatizo linaweza kuwa nini?
Naombeni ushauri, mana najua Jf kuna madaktari bingwa wapo humu, Mara ya mwisho nguo zake zilifuliwa na Dettol ili kuuwa vimelea lakini tatizo limerudi tena, naomba ushauri.
Asanteni!.
Kuna shida inatanitatiza kwa mtoto wangu wa kike mwenye umri wa miaka mitatu, ni kwamba amekuwa na kawaida ya kutokwa na maji meupe kama maziwa sehemu zake za siri kila baada ya muda flani, nimejaribu kumpeleka hospital mbalimbali naambiwa U.T.I anapewa dawa na muda mwingine sindano lakini tatizo linajirudia tatizo linaweza kuwa nini?
Naombeni ushauri, mana najua Jf kuna madaktari bingwa wapo humu, Mara ya mwisho nguo zake zilifuliwa na Dettol ili kuuwa vimelea lakini tatizo limerudi tena, naomba ushauri.
Asanteni!.
