Mtoto kulegea miguu

Mtoto kulegea miguu

Ushambemenda mkuu,acha hizo mambo mpaka mtoto aache kunyonya au ongea na wabibi wakupe dawa,ukishindwa basi kila baada ya mgegedo mwambie mshikaji ajifute jasho kake kwenyemikono alafu amnyooshe mtoto viungo kwa kutumia hilo jasho lake lililo mikononi
 
Pole kwa malezi dada, ila ulitakiwa huyo wa kwanza alipofikisha 1yr umwachishe kunyonya ili na mwenzake aweze kupata kunyonya vzr pia kulinda afya yako. Hao wanaoshangaa hata huku kwetu wapo na hapo hapo ukute wana watoto wamewapanga, kila mtu na malengo yake wengn wamechelewa kuzaa sababu ya masomo, changamoto za uzazi nk so wanaona bora waunge then wapumzike, wengn wanataka walee mapema then waanze mambo mengine. Hakuna principal hapo,wasikariri

Sent using Jamii Forums mobile app


hakuwa under 1 insuch..alikua above 1.5mths..ila nilimuonea huruma..na kweli hakutetereka..alikua na afya yake tu..alipozaliwa mwenzk nikawa naibia ibia kimnyonyesha ..after 2 mths nikamwachisha..mambo ya ndoa mtoto wa 2 huwa anakuja fast sana coz mnakuwa hamuelewi sna haya mambo..mm nilijigundua tu nna mimba...wala sio kuchelewa kuzaa..nimezaa nikiwa mbichi kbs
 
Mtoto anapofikisha wiki sita anakuwa na maendeleo muhimu kwa ukiaji na hapa daktari hubaini kasoro kama zippo katika ukuaji.

Mtoto wa wiki sita:
huwezi kuingia kichwa
Hurusha miguu na mikono

Kwa watoto wa kiume huchekiwa korodani pia kama ziko size moja na mengineyo.

Ni kufanya tu miadi na daktari wa watoto.

mkuu hyo ya kubembenda hebu tupe maelezo hapa..ni kweli au uongo??na hyo ya kupiga mechi za mchangan pia inakuaj
 
Ushambemenda mkuu,acha hizo mambo mpaka mtoto aache kunyonya au ongea na wabibi wakupe dawa,ukishindwa basi kila baada ya mgegedo mwambie mshikaji ajifute jasho kake kwenyemikono alafu amnyooshe mtoto viungo kwa kutumia hilo jasho lake lililo mikononi

😂😂😂😂😂😂😶😶😶😶 jaman haya maisha haya..hiv huo si uchawi kbs mkuu😂😂😂..dah mie wanangu ht yale makamba meusi sijawah wavalisha..au kulala na mfupa wa noah mie hapana aiseee maana mm sijalelewa hvo iweje wanangu 😂😂😂 nimechekaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji55]tena usinikumbushe mie nilishakaywa hyo kidaka tonge..nikaja ambiwa after 12 yrs kuwa kukatwa hbyo ni km kukeketwa[emoji23][emoji23] niliumia sana..hyo.kidaka tonge nayo ni uzushi tu..mie nikaja.gundua ni pumu aftre 18yrs kukatwa[emoji57][emoji57] hakunaga meno ya plastick na ww..kha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1745][emoji1745]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika Maziwa anayonyonya ni masafi?
 
Back
Top Bottom