Mtoto kufariki baada ya kukaa siku mbili tuu tokea kuzaliwa nini sababu.??

Chabrosy

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
2,618
3,083
Habarini wakuu..nilikuwa nahitaji juzwa nini sababu usababisha mama mjamzito ajifungue mtoto salama tuu afu baada ya yule mtoto kukaa siku mbili tuu na kufariki..??

Afu pia nilitaka jua ivi mtoto akinywa yale maji ya uzazi anaweza akapona akiwaiwa kufanyiwa matibabu au kuna njia ya kuweza kumuondoa yale maji aliyo yanywavya uzazi...??

Pia sababu inayosababisha mtoto kulia sana baada ya kuzaliwa yani simanishi kulia tuu pale alivyotoka tumboni kwa mama ake namanisha analia mda wote tokea kazaliwa yani anyamazi nini tatizo nahitaji msahada wenu wakuu...??

Nimetingwa sana...msaada wenu wakuu.
 
Kitovu nacho huchangia kama kakatwa vibaya au baridi ikiingia pale kwenye kitovu hili nalo huchangia kama uhifadhi wa mzazi hakuwa mzuri kwa mtoto
 
Mmm hilo nalo ni tatizo kazaliwa nalo huenda kuna ugonjwa mtoto alikuwa nao tangu anatoka tumboni mwa *****
Aisee kwaiyo kitovu pia na mzazi pia uhifadhi wake aukuwa mzuri na vipi kusu kutokwa mapovu puani na masikioni???
 
Habarini wakuu..nilikuwa nahitaji juzwa nini sababu usababisha mama mjamzito ajifungue mtoto salama tuu afu baada ya yule mtoto kukaa siku mbili tuu na kufariki..??

Afu pia nilitaka jua ivi mtoto akinywa yale maji ya uzazi anaweza akapona akiwaiwa kufanyiwa matibabu au kuna njia ya kuweza kumuondoa yale maji aliyo yanywavya uzazi...??

Pia sababu inayosababisha mtoto kulia sana baada ya kuzaliwa yani simanishi kulia tuu pale alivyotoka tumboni kwa mama ake namanisha analia mda wote tokea kazaliwa yani anyamazi nini tatizo nahitaji msahada wenu wakuu...??

Nimetingwa sana...msaada wenu wakuu.

Mkuu mtoto kulia mfululizo sio ishara nzuri plus kama unyonyaji wake pia sio mzuri
Me nadhani ni vema ukampeleka hospitali
Kuna magonjwa mengi sana ya watoto kwa umri huo na hawana njia nyingine ya kuya express zaidi ya kulia tu
 
1. Mtoto kufa baada ya kuzaliwa husababishwa na uzembe wa either mzazi au wauguzi. Haiingii akilini mtoto akae tumboni kwa miezi Tisa Hadi kumi alaf age siku mbili baada ya kuzaliwa.
2. Mtoto kunywa Yale maji humsababishia infections so itampasa kutapishwa Yale maji kwa kumuingizia Mpira tumboni au njia zingine wataalamu watakazorecommend.
3. Next time opt operation if wauguzi wenu hawajielewi
 
Back
Top Bottom