jaffari yogo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 685
- 148
Kuna mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13 hapa wilayani Bunda mkoa wa Mara Tanzania ambaye alipotea kutoka kwao Sehemu ya MIGORI KENYA. Alikuwa anasoma darasa la 7 katika HASARY JOHAN PRIMARY SCHOOL ilioko Migori.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo anaitwa mwalimu BEN, mwalimu wa English na kiswahili anaitwa MKUNE na mwalimu wa Hesabu ni MBUSIRO. Huyu mtoto anaitwa HAWA MOHAMMED jina analotumia shuleni na nyumbani au Boke. Baba wa mtoto anaitwa MOHAMMED au DEO.
Amedai pale Migori anaishi karibu na kituo cha mafuta yaani Petrol station (TOTAL) karibu na centre ya Migori. Tafadhali anayeweza kumfahamu huyu mtoto tuwasiliane kwa namba +255788043177.
Utani tuache ni suala muhimu sana hili tafadhali. Let us be serious on this please!.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo anaitwa mwalimu BEN, mwalimu wa English na kiswahili anaitwa MKUNE na mwalimu wa Hesabu ni MBUSIRO. Huyu mtoto anaitwa HAWA MOHAMMED jina analotumia shuleni na nyumbani au Boke. Baba wa mtoto anaitwa MOHAMMED au DEO.
Amedai pale Migori anaishi karibu na kituo cha mafuta yaani Petrol station (TOTAL) karibu na centre ya Migori. Tafadhali anayeweza kumfahamu huyu mtoto tuwasiliane kwa namba +255788043177.
Utani tuache ni suala muhimu sana hili tafadhali. Let us be serious on this please!.