mahakama ya kazi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 1,520
- 240
Leo ni leo kati ya mafahari wawili,Bayern Munich vs Juventus.Saa 10;45 usiku Ligi ya Mabingwa Robo fainali.
Leo ni leo kati ya mafahari wawili,Bayern Munich vs Juventus.Saa 10;45 usiku Ligi ya Mabingwa Robo fainali.
Forza Juve! The bianconeri sitasahau 1997 Borrusia Dortmund walipotupiga 2-1 wakabeba ubingwa na Juve ya wakati ule ilikuwa imetimia haswa akina zidane ndani. Sasa leo sio dortmund tena ni Bayern lzm tuwachape hawa ma bavarians
Hawa Juve walitukosea heshima mabingwa watetezi wakatufunga na kusababisha tutolewe awali, leo nawaombea njaa tu!!
Ni saa 9:45pm hivyo watu wawe makini wasije wakaangalia kipindi kimoja tu.
Juventus safari imewadia, wakisimulie nyumbani kuwa waliingia robo fainali. Tuliwapenda sana ila kutoka kumewapenda zaidi...
Bayern wakimtoa Juve ntajing'ata Pua
Tusiokuwa na SS 3 sijui itakuwaje labda K24 na Moz wanaweza onesha
mkuu Gang Chomba, viapo vyako mara nyingine ujiangalie. Juve watafudhu kwenda nusu fainali. Kwa kuwa ni timu bora na fitna wanajua! Hapa ni kati ya timu nzuri, (baryen) na timu bora (juve). Naapa mbuzi aning'ate,juve haifungwi na bayern munich.
Bayern wakimtoa Juve ntajing'ata Pua
Hivi msimu huu Juve kapoteza mechi?
Hivyo vikina Shwaizteiger, Muller na Kloose vilifunikwa na Mzee Pirlo kwenye nusu fainali ya Euro...
So sidhani kama vitakuwa matured leo.
Bayern wakimtoa Juve ntajing'ata Pua
Mkuu subiri utaniambia, safari yao hapa ndio mwisho Juve, Pirlo ameanza kuchoka sasa speed inapungua sana jinsi hizi games zinavyosogea muangalie vizuri utaona.
ngoja niisubiri hii comment yakoo..