Mtoto Apata Mtoto

Mtoto Apata Mtoto

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
12592551_1502563886717164_4786353645478426615_n.jpg
 
Chezea pesa wewe,mfupi anaonekana tolu na tolu anaonekana mfupi.
 
ooops sorry then
It's okay Brother, nisamehe mimi ndio sikumalizia, I meant kuna mtu alianzisha uzi juzi hapa akiulizia kuhusu huyu Mshikaji kuwa eti ni motto....Thanks. Upo lakini Mpwa?
 
Namuonea huruma huyo mtoto kama hatakuwa na kipaji cha aina yoyote na afu akirithi ufupi
 
Pawpaw..Hivi vijamaa hata ukienda kwenye wikipedia zao havitaki kuandika umri wao
 
Usijidanganyike. Hawa siyo watoto wadodo. Mmoja wapo amezaliwa mwak 1997, mwingine sikumbuki.
 
Usijidanganyike. Hawa siyo watoto wadodo. Mmoja wapo amezaliwa mwak 1997, mwingine sikumbuki.
Si kweli mkuu Chinedu Ikedieze (Aki) alizaliwa mwaka 1977 na mwenzie Osita Kenneth Iheme (Ukwa au pawpaw) alizaliwa mwaka 1982
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom