andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
Huyu kiwango chake akacheze ulayaa, baba ke nae kacheza rithaa huko sasa mwanae atacheza priffesional football
baba yake ni nani vile, nimemsahau kidoogo, hebu nikumbushe. Halafu hiyo itakuwa ni mimba yako ya kwanza umesema ukweli.