Mtoto amepotea, msaada please

Status
Not open for further replies.
Nadhani JF pekee haitoshi, ni vyema wahusika wakatembelea vituo vya luninga ili kupata msaada zaidi pia waende na hiyo picha ili iweze kuonyeshwa na vituo hivyo. Naamini atapatikana mapema
so true
 
Mungu akuwezeshe apatikane salama mkuu. Yaani inaumiza mno kiasi kisichoelezeka kupotelewa na mtoto.
 
Bwana Yesu wewe unaweza yote, mlinde mtoto huyu na awe tu amepotea na si kutekwa, na zaidi sana awe salama kabisa kama tulivyokuomba alipopotea mtoto wa rafiki yangu, ukavyomlinda akarudi salama, ni imani yangu kabisa Bwana utamlinda mtoto huyu. Hakika wewe ni Mungu mwenye huruma na siku zote unapigana na wanaopigana nasi, pigana na wanaopigana na mtoto huyu, na kumbuka huyu ni malaika tu hajui chochote, nasikia uchungu sana nikisikia habari kama hizi na wewe Mungu unanijua, angalia machozi yangu na wote wanaolia kwa ajili ya mtoto huyu, kila atakayemgusa na kumkaribia kwa nia mbaya aone moto ukimuunguza, hilo linawezekana kwako Mungu.

Tunakuamini Bwana kwamba utafanya haya kwa ajili ya utukufu wako, AMEN.
 

ameeen
 
Tuna omba mtoto aliye potea arudi nyumbani salama wa usalimi. iwe kimara Baruti au huko kwao Iringa.
 
Ameeeen!
 
So sad,
Mungu awape ujasiri wazazi wa mtoto na moyo wa subira.
 
Tunaomba feedback please! tuendelee kuomba au tumshukuru Mungu kwa miujiza yake!
 
Pole sana kwa kupotelewa na mtoto wako,tuko pamoja katika hili tunakuombea mungu akupe nguvu za kuvumilia machungu ya kumkosa mwanao na pia amlinde mwanao popote pale alipo,nina imani atapatikana tu.
 
Mungu ni mwaminifu sana, atapatikana salama. Ni mgeni sana hapa mjini? Ana kawaida ya kutoka na kuchelewa kurudi nyumbani? Chanzo chochote cha kufanya aondoke? Aliondoka kwenye hali gani? Tuko pamoja.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…