Angry Bird
JF-Expert Member
- May 3, 2016
- 514
- 487
Usanii kipaji mkuu, ukichanganya na panic usishangae mchepuko kujieleza pasipo kuulizwa swali.Mbona hapo kama yule kimada angekuwa na akili ya fasta ilikuwa ni ishu ndogo tu,
Wakati dogo anamkimbilia dady, yule bibie alitakiwa aende, kuanzisha story, shem vip? Mtoto kawamisi baba zake jamani, hamji kumtelembelea , so ingepata pa kumaliziwa.
Hakumkana ila alimchukua wife wakarudi nyumbani, shopping trip ilikwenda break.Huruma kwa katoto .... Engineer kachemsha. He made his bed, now he must lie in it! Akimkana hapo mbele ya wife to save his skin, atamwelezaje tena akimtembelea?
Haaaha mtu unajikanyage mwenyewe.Usanii kipaji mkuu, ukichanganya na panic usishangae mchepuko kujieleza pasipo kuulizwa swali.
Kwenye situation kama hiyo heri kunyamaza.Haaaha mtu unajikanyage mwenyewe.
Dah,mbege ilikuwa kali sana baby.Acha kutoa mambo ya ndani
Nitajifanya bubuUkizinduka tu unamkuta dogo ndio anakuamsha 'dady amka'
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nitajifanya bubu