mwanangu alizaliwa kwa kuchelewa kabla ya mama kufanyiwa operetion
na baadae aliishiwa nguvu kiasi cha kulishwa kwa kumkamulia maziwa ya mama.
maendeleo yake kwa sasa, miaka2 inaonekana ni slow sana kimawasiliano, na hana balance
hajatembea bado, ila anapenda sana kucheza kwa kurusha miguu na mikono,
inasemekana alipata mshtuko kiasi kwamba anashindwa kutumia ubongo katika baadhi ya mambo.
kwa mfano uko mnyanyua na kumsimamisha hupenda kukunya miguu hivyo hajisupport...
je, kweli anaweza kutembea vizuri na maendeleo mengine baadae?
kwa sasa nampeleka muhimbili kwa ajili ya mazoezi kila wiki,
msaada tafadhali.....
na baadae aliishiwa nguvu kiasi cha kulishwa kwa kumkamulia maziwa ya mama.
maendeleo yake kwa sasa, miaka2 inaonekana ni slow sana kimawasiliano, na hana balance
hajatembea bado, ila anapenda sana kucheza kwa kurusha miguu na mikono,
inasemekana alipata mshtuko kiasi kwamba anashindwa kutumia ubongo katika baadhi ya mambo.
kwa mfano uko mnyanyua na kumsimamisha hupenda kukunya miguu hivyo hajisupport...
je, kweli anaweza kutembea vizuri na maendeleo mengine baadae?
kwa sasa nampeleka muhimbili kwa ajili ya mazoezi kila wiki,
msaada tafadhali.....