Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

Dakika 3 za kibongo unazijua mkuu?? Labda ungesema dakika 3 za kizungu...mademu wenyewe hawa wa kibongo ukitupia ndoano saa hiyo hiyo anakuwa yatima maskini


11d6db17b1aeef9c5c0c90dfd6a54077.jpg
 
Dakika 3 za kibongo unazijua mkuu?? Labda ungesema dakika 3 za kizungu...mademu wenyewe hawa wa kibongo ukitupia ndoano saa hiyo hiyo anakuwa yatima maskini


11d6db17b1aeef9c5c0c90dfd6a54077.jpg
Unaweza kumfanya acheze utakavyo
 
Usafi,kujiamini,usijisifie sana,mawazo chanya na msimamo kwa vitu chanya utampata mwanamke PESA sio kitu ktk MAPENZI japo ni muhimu isitangulizwe mbele kama hongo
 
Tatizo la kutongoza ninalo mwenzenu, japo mfuko si haba ila ikija suala hilo huwa nakosa ujasiri kabisa
 
Mbona sii dk3 tena?na badala yake njia hii itakuwa ni majuma3?
 
Ukitaka mwanamke akuwaze na akutafute mwambie una hela ya mtaji milion kadhaa hv ila hujui ufanye biashara gan
 
Ukiwa mjanja mjanja wa ahadi za uwongo lkn unapozitoa unakuwa unajiamin,utawagonga wengi bila hata wallet kutuna
 
Kama sijavutiwa na wewe swaga zote hizo ni kazi bure!
 
Mimi nadhani wewe ndo unahitaji kufundishwa namna ya kutongoza
 
Back
Top Bottom