chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,734
Muwe mnasoma hoja mnaelewa sio kukurupuka kuchangia. Mtoa uzi kaeleza kwamba DMO kaficha taarifa za kipindupindu ndio maana kaswekwa ndani.Kaswekwa rumande kwa kushindwa kuthibiti ugonjwa wa kipindupindu kwenye eneo lake la kazi, au kwa sababu kasema kuna kipindupindu wakati mkuu wa mkoa hataki ijulikane kuwa kuna kipindupindu?
Mambo yakiendelea hivi, kuna taarifa nyeti zitafichwa kuogopa kutumbuliwa au kuswekwa ndani.