Mashamba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 418
- 103
Hali si njema tena.
Kwa wanaoufahamu vyema mto Kagera umeundwa na iyo mito miwili tajwa juu. Miaka ya nyuma kidogo wakati wa mauaji ya kimbari na miaka iliyofata hii mito imegubikwa na kutupwa sana kwa miili ya watu wanaouwawa kwa sababu mbalimbali Bujumbura na Kigali na kubebwa na maji hadi kuingia mto Kagera kwa upande wa TZ na mara nyingi sana maeneo maarufu ya Rusumo hii miili ilionekana sana.
Modus operandi hii wameichukua wameileta na huku, sijui ni mafunzo ya kale kasafari au ni nini ila hivi viashiria sio vyema kabisa bandugu ikizingatiwa kuna mengi yanaendelea kimya kimya. Mungu tuepushe na hii roho inayoinyelea hii inji. Binadamu yeyote ana haki ya kuishi haijalishi wapi na kwenye mamlaka gani.
Kwa wanaoufahamu vyema mto Kagera umeundwa na iyo mito miwili tajwa juu. Miaka ya nyuma kidogo wakati wa mauaji ya kimbari na miaka iliyofata hii mito imegubikwa na kutupwa sana kwa miili ya watu wanaouwawa kwa sababu mbalimbali Bujumbura na Kigali na kubebwa na maji hadi kuingia mto Kagera kwa upande wa TZ na mara nyingi sana maeneo maarufu ya Rusumo hii miili ilionekana sana.
Modus operandi hii wameichukua wameileta na huku, sijui ni mafunzo ya kale kasafari au ni nini ila hivi viashiria sio vyema kabisa bandugu ikizingatiwa kuna mengi yanaendelea kimya kimya. Mungu tuepushe na hii roho inayoinyelea hii inji. Binadamu yeyote ana haki ya kuishi haijalishi wapi na kwenye mamlaka gani.