Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 2,922
- 3,766
asante mkuuCongo brazzaville - Raisi Denis Sosu Nguesso
Congo- Kinshasa - Raisi ni Felix Tsekedi
Hizi ni inchi mbili tofauti Ila zinapakana
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuuCongo brazzaville - Raisi Denis Sosu Nguesso
Congo- Kinshasa - Raisi ni Felix Tsekedi
Hizi ni inchi mbili tofauti Ila zinapakana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio tatizo la mito ya Africa wezetu mito yao wanaifuraiya Sana maana inapitisha mizigo kama bahari ukiona mito ya china inavyo fanya usafirishaji yakwetu utaiona haina maana!!View attachment 1016211
Congo moja hii Ya kabila ilitawaliwa na mbelgiji (Belgium Congo)Hebu nisaidieni swali hili jamani Congo DRC ni tofauti na Congo Brazzaville??? Na maraisi wao ni tofauti??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mto huwa na visiwa ?Kama una visiwa juu yake basi mto mkubwa sana
Ni nchi mbili tofauti.nilitaka kuuliza the same qn mkuu,asnt ,Naomba ukijibiwa unitag pls
Tunakwama kichwani,,,,CONGO INA NEEMA NYINGI SANA WANDUGU,,
AFRICA CJUI TUNAKWAMA WAPI,,,!!?
,,KAMA NI MAOMBI MBONA TUNAOMBA KILA CKU, MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA,,mwe wajameni,
Washenzi hao mkuu na badhi ya viongozi wetu! Mabeberu kuna baadhi ya sheria wametuchomeakea kwa faida zao! Mfano ukitaka kuingia chemicals yoyote hapa bongo ata kama gundi utapata taabu kweli Adi uwe na vitu kibao! Sheria nyingi tume copy bila kujuwa!Sisi tunaambiwa tusiharibu mito kwakuwa tunaua viumbe wengine muhimu duniani
MTO Kongo ni mkubwa sana. Ndo maana una peleka maji mengi Baharini. Mto nile ni mrefu lakini sio mkubwa kulinganisha na mto Kongo. Kwa ukubwa na maanisha upana na kina.Kama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?
Hukuelewa mkuu. Kasema mzungu wa kwanza kufika kuona au kutembelea au MTO Congo. Hakusema binadamu wa kwanza.Hapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Mungu kweli hakupi kila kitu katubariki afrika kua na rasimali nyingi lakini katunyima viongozi boraTumebarikiwa lakini hatujui kuvitumia.
Kwa upande wangu naona kama Mungu tunambebesha mzigo wa lawama. Shida ni sisi wenyewe.M
Mungu kweli hakupi kila kitu katubariki afrika kua na rasimali nyingi lakini katunyima viongozi bora
MTO Kongo ni mkubwa sana. Ndo maana una peleka maji mengi Baharini. Mto nile ni mrefu lakini sio mkubwa kulinganisha na mto Kongo. Kwa ukubwa na maanisha upana na kina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu wahuni kweli aiseee!Hawa wazungu wahuni walikuta watu wapo halafu wanasema wanegundua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu wa kwanza kufikaHapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Ahsante sana Mkongwe wa Misri kwa mawazo yako.
amesema mzungu wa kwanza sio mtu wa kwanza elew kiswahiliHapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Hahahahaha, watu ni wepesi sana wakubadilisha maana ya neno fulani au sentensi mkuu.amesema mzungu wa kwanza sio mtu wa kwanza elew kiswahili
Wanaifanyia training ili iwe navigable,Sasa hili ni suala la uwezo wa kiuchumi wa nchiNdio tatizo la mito ya Africa wezetu mito yao wanaifuraiya Sana maana inapitisha mizigo kama bahari ukiona mito ya china inavyo fanya usafirishaji yakwetu utaiona haina maana!!View attachment 1016211
Hapo sasa ndio shida inapoanzia mkuu.Wanaifanyia training ili iwe navigable,Sasa hili ni suala la uwezo wa kiuchumi wa nchi