Mtizamo wangu: Tanzania ina uwezo wa produce Hitler mdogo

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Jaribu kutuliza akili kwanza ili unielewe:

Nia ya huu uzi sio kuwakandia watanzania, Kwenye nchi mama Tanzania kuna watanzani wenye utu . Ila kwa vile kwenye msafara wa mamba kenge nao wapo, kwenye Tanzania pia kuna watu wakatili kupitiliza.

Madikteta wakubwa duniani walikuwa wapole sana, ila walionyesha makucha yao baada ya kupata madaraka ya juu.

Nataka kuanza kuongelea Watu wenye madaraka makubwa ambao wamepita Tanzania ama naweza kusema ni products za Tanzania.

Yoweri Kaguta Museveni, huyu amepikwa na Tanzania. ila mambo anayoyafanya kule Uganda kila mtu nayaona,

Vyama vya upinzani havipumui sitaki kuliongelea kwa undani sana ila nataka tu msomaji ajue kuwa hii ni product ya Tanzania.

Joseph Kabila,, huyu ndio mtanzania pure kabisa. alikulia Tanzania akasoma hapa na utoto wake wote. ila utawala wake umekuwa wa hatari sana.. umekuwa wa kiunyonyaji, watu kupotea, kujilimbikiza mali na mambo mabaya sana dhidi ya mwanadamu
Nchi ya kongo ina utajiri na hii sio habari kabisa ila ufukara uliopo pale ni kwa sababu ya viongozi hawa.
mambo yanayotekea kongo kuelekea kwenye uchaguzi si mzaha, ni masikitiko makubwa.
sitaki kumtaja Katumbi.


Tukirudi nchini kwetu sitaki kuelewa mabaya ambayo mnayajua tayari.

Nataka tu kuhitimisha kuwa kati kati ya watanzani kuna watu wenye hulka na tabia za Hitler, msije mkawa suprised mmoja wapo wa hilo kundi akishika madaraka makubwa.

Tutaingia kwenye sura ya dunia tukiwa na uso mwingine kabisa.

kama hujaelewa bandiko langu rudia tena kusoma.
 
Lakini kabila si kasarenda?,au bado anang'ang'ania urais?
Mimi huwa nashangaa,hawa kina mseven,hawajiongezi?,maana ukinga'ang'ania,maana yake mwisho wake lazima uwe mbaya tu,wengine wanajifariji,kwamba,,"si ntafiamo what is the issue?"
Lakini ikitokea wamekutoa kwa nguvu utateseka sana kwani watachukua kila ulichoiba na utarudi kuwa masikini hohehohe.
Hata ukifia kwenye urais,family yako itapata tabu sana,watataifisha majumba yako,viwanja etc.
Bora uibe kwa akili,nunua majumba dubey,London,newyork etc,kisha ng'atuka kwa amani ukale maisha kwa amani
 
Jaribu kutuliza akili kwanza ili unielewe:

Nia ya huu uzi sio kuwakandia watanzania, Kwenye nchi mama Tanzania kuna watanzani wenye utu . Ila kwa vile kwenye msafara wa mamba kenge nao wapo, kwenye Tanzania pia kuna watu wakatili kupitiliza.

Madikteta wakubwa duniani walikuwa wapole sana, ila walionyesha makucha yao baada ya kupata madaraka ya juu.

Nataka kuanza kuongelea Watu wenye madaraka makubwa ambao wamepita Tanzania ama naweza kusema ni products za Tanzania.

Yoweri Kaguta Museveni, huyu amepikwa na Tanzania. ila mambo anayoyafanya kule Uganda kila mtu nayaona,

Vyama vya upinzani havipumui sitaki kuliongelea kwa undani sana ila nataka tu msomaji ajue kuwa hii ni product ya Tanzania.

Joseph Kabila,, huyu ndio mtanzania pure kabisa. alikulia Tanzania akasoma hapa na utoto wake wote. ila utawala wake umekuwa wa hatari sana.. umekuwa wa kiunyonyaji, watu kupotea, kujilimbikiza mali na mambo mabaya sana dhidi ya mwanadamu
Nchi ya kongo ina utajiri na hii sio habari kabisa ila ufukara uliopo pale ni kwa sababu ya viongozi hawa.
mambo yanayotekea kongo kuelekea kwenye uchaguzi si mzaha, ni masikitiko makubwa.
sitaki kumtaja Katumbi.


Tukirudi nchini kwetu sitaki kuelewa mabaya ambayo mnayajua tayari.

Nataka tu kuhitimisha kuwa kati kati ya watanzani kuna watu wenye hulka na tabia za Hitler, msije mkawa suprised mmoja wapo wa hilo kundi akishika madaraka makubwa.

Tutaingia kwenye sura ya dunia tukiwa na uso mwingine kabisa.

kama hujaelewa bandiko langu rudia tena kusoma.

Bandiko lako umelinyima nyama, ulikuwa na mifano mingi sana ya kuweka.

Tanzania ndo host mkubwa wa kazi za kina Nkurunzinza, Watu kama kina Kagame wana mizizi ya kutosha hapa, kama uliwahi kuusoma waraka wa Lt. Mchungaji Mtikila utaelewa ninamaanisha nini.

Ila pia nimeielewa tafsida yako ya kuizungumzia Tanzania ya wakati uliopo kama wakati ujao (MIL 7 ingekuhusu au watu wasiojulikana).
 
Nataka tu kuhitimisha kuwa kati kati ya watanzani kuna watu wenye hulka na tabia za Hitler, msije mkawa suprised mmoja wapo wa hilo kundi akishika madaraka makubwa

Hitler alikuwa ni dikteta mwenye akili nzuri ila hawa unaosema wapo "katikati yetu na siku wakishika madaraka makubwa" ambao sasa wana madaraka madogo (Daud Bashite) hawana akili nzuri na hawawezi kuwa na viwango vya Hitler.
 
Lakini kabila si kasarenda?,au bado anang'ang'ania urais?
Mimi huwa nashangaa,hawa kina mseven,hawajiongezi?,maana ukinga'ang'ania,maana yake mwisho wake lazima uwe mbaya tu,wengine wanajifariji,kwamba,,"si ntafiamo what is the issue?"
Lakini ikitokea wamekutoa kwa nguvu utateseka sana kwani watachukua kila ulichoiba na utarudi kuwa masikini hohehohe.
Hata ukifia kwenye urais,family yako itapata tabu sana,watataifisha majumba yako,viwanja etc.
Bora uibe kwa akili,nunua majumba dubey,London,newyork etc,kisha ng'atuka kwa amani ukale maisha kwa amani
Hadi uwe na akili hio,ndumba upunguza uwezo wa kufikiri na kukupa kujiamini bandia.
 
Yani kila saa ninapoona maamuzi ya kipuuzi ya hawa ndezi nakumbuka hii thread yangu
 
mi nilikua najua mtu akiwa na PhD anakua ameelimika kwelikweli kumbe ufala tu, inabidi tupate viongozi wenye hekima kama za mfalme seleman
 
We already have hitler!
Hebu%20jaribu%20kueleza%20ujumbe%20una%C3%B2jitokeza%20kwenye%20mchoro%20huu%20wa%20katuni%20...jpeg
 
Back
Top Bottom