Mtikisiko ndani ya CHADEMA

Rutorial k

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2014
Posts
1,058
Reaction score
1,037
Wana JF nawasalimu,

Nianze na kwa kusema kwa mda wa miaka mitano kumekuwa na mtikisiko mkubwa sana ndani ya CCM na tulishuhudia mpaka kinachoitwa kuvua gamba.
hiyo haitoshi tukashuhudia waliokuwa mawaziri wakuu wa serikali.

Lowasa na Sumaye wakihamia CDM hakika huu ulikuwa mtikisiko wa aina yake ila CCM ikasimama, kama ilivyo ada (principle of managment) kila tasisi ina migogoro ingawa sio yote inamadhara (constructive and destructive conflicts).

Sasa wasiwasi wangu ni pale migogoro mikubwa itakapoikumba CDM kama ilivyokuwa kwa wenzao wa CCM na kushuhudia important figures kama vile Lisu, Myika Mdee wakikihama chama hicho na kujiunga na vyama vingine je mtikisiko huu watauhimili?

Ikumbukwe kuwa kila aliyekuwa kiongozi katika chama flani akienda
upande mwingine hutoa siri za alikotoka, je siku jamii ikianza kujua ukweli kuhusu pesa za ruzuku zinavyotumika vibaya kutoka kwa wahusika wenyewe CDM itasimama?

Wito CHADEMA ijenge misingi ambayo hata itakapotikiswa ibaki salama..bado tunawahitaji ili kujenga nchi imara yenye upinzani wakweli.

Siyo chuki mkuu, mm ni mwalimu pale. Naumia sana kuona uduni wa ufundishaji pale, nikilinganisha na chuo nilikotoka. Na pia naumia sana na quality ya wanafunzi tunaoletewa pale.

Kama una access ya mwalimu yeyote wa UDOM, jaribu kumpeleleza

RAHA YA KUWA NA MBUNGE MSOMI WA UKAWA

Niko hapa MNH naangalia pilika zinavyoendelea. Hakuna nurses wa kutosha kuwa Na ward nyingine ghafla. Hawa kina mama wanaweza kupata tatizo wakiwa wenyewe


Hii ndio faida mojawapo ya kuwa na upinzani wenye nguvu
 
Wamtumie vizuri Slaa cha ajabu CHADEMA inapendwa zaidi na vijana na Slaa kashapuuzwa
 
Masaa 6 hakuna mchangiaji hiyo ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…