Mtikila na "Nambulila" unaoiuwa CCM

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, Mch Mtikila amekuja na mpya kuhusu CCM


"...........Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho kina ugonjwa wa ‘Nambulila’ ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.
“Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu akitembea na mke wa mtu anaupata na anapokufa, anawaona watu wanavyomlilia, wanavyomuingiza kwenye kaburi, lakini hana uwezo wa kusema, hivyo anazikwa akiwa hai, akiona kila kitu. Ndivyo ilivyo CCM, inakufa ikijiona. Hii ndiyo Nambulila,” alisema Mtikila. Alisema usanii wa kujivua gamba hauwezi kuinusuru CCM kwani ni dhana ya uendawazimu yenye lengo la kuwaghilibu Watanzania...."

Source:Utajiri wa Ridhiwani wamweka pabaya JK

Ama kweli CCM inakufa ikijiona:smile-big:
 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, Mch Mtikila amekuja na mpya kuhusu CCM


"...........Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho kina ugonjwa wa ‘Nambulila' ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.
"Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu akitembea na mke wa mtu anaupata na anapokufa, anawaona watu wanavyomlilia, wanavyomuingiza kwenye kaburi, lakini hana uwezo wa kusema, hivyo anazikwa akiwa hai, akiona kila kitu. Ndivyo ilivyo CCM, inakufa ikijiona. Hii ndiyo Nambulila," alisema Mtikila. Alisema usanii wa kujivua gamba hauwezi kuinusuru CCM kwani ni dhana ya uendawazimu yenye lengo la kuwaghilibu Watanzania...."

Source:Utajiri wa Ridhiwani wamweka pabaya JK

Ama kweli CCM inakufa ikijiona:smile-big:

Hivi zile pesa alizopewa na RA alizirudisha huyu mzee ? huyu mzee ni fisadi sana hana jipya
 
Hivi zile pesa alizopewa na RA alizirudisha huyu mzee ? huyu mzee ni fisadi sana hana jipya

Hata kama ni fisadi lakini si amesema ukweli jamani.. huu ugonjwa utokanao na tego la mke wa mtu, wamekula mali ya wananchi hawa:A S-baby:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom