Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, Mch Mtikila amekuja na mpya kuhusu CCM
"...........Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho kina ugonjwa wa Nambulila ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.
Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu akitembea na mke wa mtu anaupata na anapokufa, anawaona watu wanavyomlilia, wanavyomuingiza kwenye kaburi, lakini hana uwezo wa kusema, hivyo anazikwa akiwa hai, akiona kila kitu. Ndivyo ilivyo CCM, inakufa ikijiona. Hii ndiyo Nambulila, alisema Mtikila. Alisema usanii wa kujivua gamba hauwezi kuinusuru CCM kwani ni dhana ya uendawazimu yenye lengo la kuwaghilibu Watanzania...."
Source:Utajiri wa Ridhiwani wamweka pabaya JK
Ama kweli CCM inakufa ikijiona:smile-big:
"...........Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho kina ugonjwa wa Nambulila ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.
Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu akitembea na mke wa mtu anaupata na anapokufa, anawaona watu wanavyomlilia, wanavyomuingiza kwenye kaburi, lakini hana uwezo wa kusema, hivyo anazikwa akiwa hai, akiona kila kitu. Ndivyo ilivyo CCM, inakufa ikijiona. Hii ndiyo Nambulila, alisema Mtikila. Alisema usanii wa kujivua gamba hauwezi kuinusuru CCM kwani ni dhana ya uendawazimu yenye lengo la kuwaghilibu Watanzania...."
Source:Utajiri wa Ridhiwani wamweka pabaya JK
Ama kweli CCM inakufa ikijiona:smile-big: