gimanini
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,741
- 1,754
Wiki ijayo drs. la 7 watafanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi nchini kote,ila hadi leo wasimamizi wa mitihani hiyo hawajafahamika ili hata waende semina ya usimamizi,hasa baadhi ya mikoa na hii ni kutokana na ukosefu wa hela ya kuwalipa wasimamizi hao wa mitihani hiyo.kwani taarifa zinapasha kuwa mpango uliopo ni walimu kusimamia mitihani kwa kukopwa.