mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,966
HABARI ZA MUDA HUU
Thread yangu ilopita niliuliza swali kuwa
"JE NI UJANJA AU USHAMBA KUFANYA MAPENZI NA SHEMEJI YAKO? (wa kike)
Hili niliuliza pale ambapo mpenzi ninayeishi naye amekuja na mdogo wake nae ni mzuri kuliko yeye....
Lakini kulingana na koment zenu wadau ikanibidi suala la kumfokonyoa shemu nilipotezee.
Lakini sasa kitu ambacho kinataka kujitokeza ni kwamba mpenz wangu anataka kusafiri kwenda harusini kiasi cha kama wiki mbili hivi. Maana harusi inamuhusu yeye sana... Lakini ameshauri kuwa mdogo wake abaki na mimi MZEE WA KASUMBA tu hakuna shida.
Sasa jamani si mnaona jinsi shetani alivyo na makusudi?
Unawezaje kumuweka simba na swala katika zizi moja?
USHAURI WENU TENA UNAHITAJIKA.
Thread yangu ilopita niliuliza swali kuwa
"JE NI UJANJA AU USHAMBA KUFANYA MAPENZI NA SHEMEJI YAKO? (wa kike)
Hili niliuliza pale ambapo mpenzi ninayeishi naye amekuja na mdogo wake nae ni mzuri kuliko yeye....
Lakini kulingana na koment zenu wadau ikanibidi suala la kumfokonyoa shemu nilipotezee.
Lakini sasa kitu ambacho kinataka kujitokeza ni kwamba mpenz wangu anataka kusafiri kwenda harusini kiasi cha kama wiki mbili hivi. Maana harusi inamuhusu yeye sana... Lakini ameshauri kuwa mdogo wake abaki na mimi MZEE WA KASUMBA tu hakuna shida.
Sasa jamani si mnaona jinsi shetani alivyo na makusudi?
Unawezaje kumuweka simba na swala katika zizi moja?
USHAURI WENU TENA UNAHITAJIKA.