Mtihani mkuu wa NEC huu hapa

Mtihani mkuu wa NEC huu hapa

SportSpapeR

Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
7
Reaction score
4
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


MTIHANA WA NEC
OCT 25/2015

SEHEMU: A

Maswali ya kuchagua

1. Mvua inapatikana wapi?
A.thailand B. Mawinguni

2. Ripoti ya mwakyembe inasema mhusika wa richmond ni
A.EL B. Wakubwa C. Kikwete

SEHEM B

3.Elezea namna elimu ya bure inavyotolewa huku kodi ya wafanyabiashara ikishushwa na nchi ikiwa na deni kubwa

4.Orodhesha majinia ya List Of Shame wanaotaka uraisi.

5. Je uchaguzi wa Tanzania Mwaka huu tunachagua viongozi wa dini?? Jibu swali hili kwa kutumia kauli ya "nchi hii haijawahi kuwa Rais Mlutheri"

6. Ni kwa jinsi gani dini na siasa vinaingiliana hasa wakati wa kampeni, ukizingatia kauli na ushiriki wa Gwajima


SEHEMU C
7. Ondoa utata kwenye sentensi zifuatazo
* "Ccm is my life, ambaye hanitaki ccm aondoke yeye/ccm sio baba yangu wala sio mama yangu"

* "nitaendeleza pale alipoishia mh Jakaya/ jakaya na rafiki zake wameharibu uchumi wa nchi hii"

*wapo wananchi wanaamin ccm inauwezo wa kuleta mabadiliko/ccm ni shida"

*Lowassa "nitatoa Elimu ya bure" /bulayo "tukuiingia madarakan nitasomesha bure wale watakaokosa ada"

SEHEMU D

8. Andika insha ya vichwa vya habari vifuatavyo

*ccm ikishinda sina tatizo nayo:sumaye
*sina shida na magufuli akishinda ni sawa tu: sumaye
*sihitaji madaraka ila nataka kuwasaidia" je unataka kusaidia vipi ikiwa huhitaji madaraka? Je unasaidia nini ikiwa unaamini magufuli anaweza?

9. Elezea uwezekano wa mtu aliyeshindwa kuondoa nyumba za nyasi monduli kwa miaka 30 na atakavyondoa nyumba za nyasi tanzania nzima kwa siku 100.

10. Onesha namna watu waishio kwa matumaini walivyofaidi million 150 katika utawala wa Lowassa.

SEHEMU F

11. Toa maoni yako,

Je tanzania ni nchi ya Masela? Mpaka ukimsaidia mwenzio kuwa raisi lazima na yeye akusaidie?

12. Kweli is kweli
#Lowassa is kigeugeu
#Sumaye haeleweki
#Slaa ni msema kweli
#Gwajima dini immemshinda
#Haji duni anazungumzia wanawake wanavyoteseka kwa sababu yeye anateseka pia na mke na watoto wake

13. "Nataka kuwa raisi, ntakuwa raisi by any means niwatumikie wa Tanzania" tetea kauli hii au kataa

14. "Push up ni njia mojawapo ya ukakamavu na sio kushikilia steji" kanusha kauli hii.

15. Waliozimia tanga ni wale walitokea Kilimanjaro, arusha na manyara" kanusha kauli hii

16.Taja mahali yanapopatikana madini makubwa makubwa

17. Andika viongozi wa zaman wa TADIP waliojiondoka Chadema

18. Andika vifupi vya maneno yafuatayo

Richard Monduli........
Ujinga ni Kawaida ya Wapinzani......
Lolote watakalo sawa.........

19. Unafiki ni kukaa miaka 7 bila kusema mhusika wa Richmond leo unasema ni ya wakubwa" jadili

20. Changanua namna ule wimbo wa mafisadi ulivyofungiwa na ukawa kama nyimbo ya Roma!
 
Aacha kupika mambo, unaweza kipika na ukakosa walaji. Uamuzi wa yote ni 25/10
 
mtihan unaendelea
rais wa quwait na libya ni sadam hussein...kweli au si kweli
 
Mleta mada analenga kumchafua lowassa. Siasa za maji taka peleka kwingine ndugu yangu.
 
Mbatia Mbowe na group lenu mmetuletea majanga makubwa ambayo hayataweza kufutika machoni pa watu kwa kutuletea mkuu wa mafisadi na kundi lake kutoka ccm. Ccm wamejivua gamba, chadema tumelivaa gamba. Total confusion! !
 
Back
Top Bottom