Wengi watamuona jamaa ni mjinga lakini mm namuona kama shujaa anayetaka kuokoa maisha yake, jamani njaa ni mbaya sana tena zaidi ya sana. Ukiwa na njaa hutoweza kuongea (kuongea ni jambo rahisi) lkn huyo huyo ukimwambia akapike chakula atapata nguvu za kwenda kupika (kupika ni jambo gumu kuzidi la kuongea)