Ahsante kama hili ni kweli!Jamani eeeh! Mradi WA vichaa WA CCM ku create fake acçounts kuwachonganisha wanasiasa wa Tanzania, hususani Wapinzani! Tundu Antipas Lissu Hana account FB, Twitter, etc! Ana WhatsApp na Telegram pekee, hizo mbili zipo kwenye Simu inayoshikiliwa na punguani mmoja aitwae Simon Siro! Telegram Account ni kwa ajili ya TLS Portal pekee! Sasa endeleeni kumaliza bundles huku mkiumiza roho zenu kwa vitu fake!
Be Warned!
Nilishaanza kuona sasa CDM mnavuka mipaka kuwaonea vyama vidogo!
Ni busara kwa CDM kukubali challenge za namna hii ya zitto kwanza ndio zinawakomaza!