Mimi sio Mnunuzi,Mimi ni mkulima wa zao la mpunga ,niko eneo la ukwavila mbarali bei maelewano kulingana na hai halisi sokoni
Asante kwa ushauri nitafanya hivyo kama nisipopata mteja kwa bei nzuri kwa sasa naona kama nitaepusha usumbufu wa kubeba kwenda mashineniMimi sio Mnunuzi,
Ila vipi kama ukiu-process into Mchele?
Asante kwa ushauri nitafanya hivyo kama nisipopata mteja kwa bei nzuri kwa sasa naona kama nitaepusha usumbufu wa kubeba kwenda mashineniMimi sio Mnunuzi,
Ila vipi kama ukiu-process into Mchele?
bei ya shambani ni tsh 90000unauza gunia kiasi gani?
Kwa msimu huu hata 50 shambani hupatiGunia la debe nane
bei ya shambani ni tsh 90000
Gunia moja LA mpunga linatoa mchele kilo ngapi?niliko sasa gunia la debe saba ni 55,000 na mchele kilo 1,300
Gunia moja LA mpunga linatoa mchele kilo ngapi?
sina hakika sana ila gunia la kilo 80 linatoa mchele 55mpk 50Gunia moja LA mpunga linatoa mchele kilo ngapi?
Gunia la debe saba ndiyo lina lio ngapi?kilo 60 hadi 63 kwa gunia la debe 7 au kilo 8 na ponts mpaka kilo 9 kwa debe/ndoo moja ya lita 20
Gunia la debe saba ndiyo lina lio ngapi?kilo 60 hadi 63 kwa gunia la debe 7 au kilo 8 na ponts mpaka kilo 9 kwa debe/ndoo moja ya lita 20
Tafuta "mazao link" kwenye Instagram wanasaidia kutafuta watejaMimi sio Mnunuzi,
Ila vipi kama ukiu-process into Mchele?
Lina lio 60Gunia la debe saba ndiyo lina lio ngapi?
Upo wapi?niliko sasa gunia la debe saba ni 55,000 na mchele kilo 1,300