Suala la udini ni suala ambalo muasisi wa taifa hili julius nyerere alilipigia sana kelele kipindi cha uhai wake.Leo katika hali ya kushangaza watu wawili kutoka vyama vikuu viwili vya upinzani tanzania wamenukuliwa wakitoa kauli zenye chembe chembe ya dalili za kutaka kuigawa nchi na wananchi kwa kutumia kigezo cha dini,watu hawa wawili ambao chonde chonde nawaomba watazania wenzangu tuwapuuze ni muasisi mwenye sauti kubwa ndani ya chadema bwana Mtei na kiongozi mwanadamizi na mwenye sauti kubwa ndani ya cuf ISMAIL JUSSA.
Akiuzungumzia uteuzi wa wajumbe wa tume ya katiba bwana mtei bila haya alitoa kauli ya kilevi kwamba eti tume hiyo imejaa waislam!sina uhakika kama mzee huyu alikua na uhakika na anachokisema ama alikua anataka kusema labda tume hii ina watu wengi wenye majina ya kiislam..all in all timing ya kuitoa kauli hii ilikua ni mbovu hasa ikizingatiwa kwamba ndio kwanza tume imeteuliwa ikiwa hata haijakutana huyu mzee anaamua kuivuruga kwa makusudi ili siku ziende tukifike kwenye uchaguzi bila katiba mpya kama jk vile anataka iwe.
Ya Jussa sina haja ya kuyarudia yote kwa kuwa kila mtu humu unajua matatizo ya jussa kwenye udini kali kuliko zote ni pale aliposema chama chake kimeshindwa uzini kutokana na jimbo hilo kujawa na wakristo!
Hawa wawili ndio viongozi wetu wanaozitumia dini kufanikisha malengo yao,ndio mana nikaswema MTEI na JUSSA NI WATU HATARI SANA KWA TAIFA,TUWAOGOPE KAMA UKOMA,NAPENDEKEZA RAIS KIKWETE AFANYE MAAMUZI MAGUMU KWA KUWAKAMATA NA KUWATIA NGUVUNI MARA MOJA ILI IWE FUNDISHI KWA WENGINE WENYE MAWAZO YA KIJINGA KAMA HAWA WAWILI.
Nawasilisha
bora nibaki na ccm yangu,maana hawa wadini ni hatari sana
Then utakua na matatizo makubwa ya akili.... nikadhani utazungumzia Rostam, Mkapa, EL, JK, Kighoma Malima, Mramba, Balali
Mwasisi wa udini unamuacha halafu unakurupukia watu wawili tu tena wasio na mamlaka kihivyo
Hili ndio lilikua lengo la mtoa mada. Hajui kwa kupaza sauti ya Mtei na Jussa nae anachangia kueneza udini. Nakuhakikishia huyu ni mdini zaidi kuliko Mtei na Jussa. Waeneza udini ndio CCM
bora nibaki na ccm yangu,maana hawa wadini ni hatari sana
bora nibaki na ccm yangu,maana hawa wadini ni hatari sana
mi sikushangai, umeona unafiki, propaganda, ubabe, ubinafsi ni BORA kuliko ukweli. kwa taarifa yako waasisi wa udini ndani ya Tanzania hii ni CCM baada ya kuona anguko 2010.
Ninaamini wazi kuwa wewe ni mtu unayetaka kuficha ukweli ima kwa sababu zako binafsi au kwa maslah ya kutaka kupumbaza WaTanzania. Naomba kukujuza kuwa siku zote lisemwalo Lipo na kama halipo Laja.
Ningependa nikurejeshe kwenye Historia za Ukoloni ndani ya Afrika mashariki kwa maana nitakudadavulia nchi kuu nne yaani Tanganyika, Kenya , Uganda na Zanzibar.
Naomba ujue kuwa wakoloni walitumia devide and Rule system katika kutaka kututawala. Tukianzia na Kenya na Uganda huku waliona kila nchi moja ilikuwa na makabila machache. Hivyo ndani ya Uganda na Kenya walitumia kuwagawa kwa njia ya Ukabila. na hicho kitu mpaka leo kenya na Uganda limkuwa tatizo kuu kwao kila kabila linajiona bora kuliko lingine na kila kabila linajinasibu kwa lugha yake ukilinganisha na lingine. Hayo ni makovu ya utawala wa mwingereza na mambo ambayo yanaendelea mpaka leo.
Nikija Tanganyika. wazungu hawa waliona kuna makabila mengi sana zaidi ya 50 hivyo wasingeweza kutawala kwa kutumia sstyle ya kenya na Uganda. Hivyo huko walitumia style ya UDINI kwa maana ya Ukristo na Uislam. Hapo Wakristo walipewa nguvu nyingi na elimu kiasi cha kujiona wao ni first citizen ukilinganisha na waislam. wao ni wasomi zaidi kuliko waislam kitu ambacho mpaka leo wakristo wanajiona bora na wasomi zaidi ya waislam.
Sasa utaona suala la UDINI Tanganika ni kovu la utawala wa kikoloni ambalo sio rahisi kulificha. kama unataka kubaini hili soma kitabu cha Padre Dr Silvalon kinachoitwa '' kanisa katoliki na siasa za Tanzania bara 1953-1985'' utaona mengi sana.
Sasa hilo sio tu la kulifumbia macho bali ni kulitafutia ufumbuzi kwani nao waislam wamesoma na kuelimika japo kwa uchache wao na kufanya mgawanyo wa rasilimali za taifa lenu mzigawe kwa uwiano ulio sawa na si kwa mmoja kujiona ni Bora zaidi ya mwengine au hata dini moja kujinasibu kuwa ni bora na imesoma na kuwa na wasomi wengi zaidi ya nyengine.
Suala la udini ni suala ambalo muasisi wa taifa hili julius nyerere alilipigia sana kelele kipindi cha uhai wake.Leo katika hali ya kushangaza watu wawili kutoka vyama vikuu viwili vya upinzani tanzania wamenukuliwa wakitoa kauli zenye chembe chembe ya dalili za kutaka kuigawa nchi na wananchi kwa kutumia kigezo cha dini,watu hawa wawili ambao chonde chonde nawaomba watazania wenzangu tuwapuuze ni muasisi mwenye sauti kubwa ndani ya chadema bwana Mtei na kiongozi mwanadamizi na mwenye sauti kubwa ndani ya cuf ISMAIL JUSSA.
Akiuzungumzia uteuzi wa wajumbe wa tume ya katiba bwana mtei bila haya alitoa kauli ya kilevi kwamba eti tume hiyo imejaa waislam!sina uhakika kama mzee huyu alikua na uhakika na anachokisema ama alikua anataka kusema labda tume hii ina watu wengi wenye majina ya kiislam..all in all timing ya kuitoa kauli hii ilikua ni mbovu hasa ikizingatiwa kwamba ndio kwanza tume imeteuliwa ikiwa hata haijakutana huyu mzee anaamua kuivuruga kwa makusudi ili siku ziende tukifike kwenye uchaguzi bila katiba mpya kama jk vile anataka iwe.
Ya Jussa sina haja ya kuyarudia yote kwa kuwa kila mtu humu unajua matatizo ya jussa kwenye udini kali kuliko zote ni pale aliposema chama chake kimeshindwa uzini kutokana na jimbo hilo kujawa na wakristo!
Hawa wawili ndio viongozi wetu wanaozitumia dini kufanikisha malengo yao,ndio mana nikaswema MTEI na JUSSA NI WATU HATARI SANA KWA TAIFA,TUWAOGOPE KAMA UKOMA,NAPENDEKEZA RAIS KIKWETE AFANYE MAAMUZI MAGUMU KWA KUWAKAMATA NA KUWATIA NGUVUNI MARA MOJA ILI IWE FUNDISHI KWA WENGINE WENYE MAWAZO YA KIJINGA KAMA HAWA WAWILI.
Nawasilisha