mmh jaman asi ashapas huo mtihan sasa unaumia nini tena?
pole sana lakin yashapita ..usiwaze n tak t easy sema ikitokea tena itabid umuulize dada ana nia gan..bt 4nw haina haja ya kuwaza cz USHAMSHINDA SHTEAN.
HONGERA SANA KWA KUMUEPUKA SHETAN.
Mbona mambo ya kawaida hayo. Waweza kulala kitanda kimoja na mtu wa jinsia nyingine bila kumfanya lolote. Haya Mambo usilazimishe kama mvuto upo itatokea tu. Na utapata roho kitu inapenda bila kubaka
hao wote walitegana na wote wakashinda vishawishi kwani kama chumba kina nge na huyo mkaka aliona nge hayupo angeenda kulala yeye kule kwenye nge na kumwachia binti chumba chake au la wangetoa taarifa kwa uongozi wa hotel au angesgusha net nge asingeingia kwenye net
sasa hapo Rose shetani ni nani?
Yap naungana na Rose coz yameshapita,ila pia huyo jamaa ni hero wa ukweli,congratulation bro maana sisi wanaume bwana...........!!!!
hamna kitu hapo bana fix tu hizo na nyinyi .sasa nge si angeenda reception kuwaambia
HA HA HA HA Hata mimi nashangaa sijui kwanini huyu NGE kwanini aende chumbani badala ya kwenda reception
kwan we wadhan nani anaweza kuwa mtumwa wa shetan kat ya dada na kaka?
karibu chai babu leo samak wa kubanika +ndimu+pilipili na chaii swafi yenye tea masala ...karibu
nimekumiss jaman...nilipika mlenda juz wacha nkumbumbuke nkasema angejua nafanya nin apa angenichokoza...!!!
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume alinisimulia kisa kimoja kilichomkuta aliposafiri kikazi na dada mmoja ambaye wanafanya naye kazi pamoja na wanaheshimiana sana kama ifuatavyo. Walikodi vyumba viwili na Guest house zote zilikuwa zimejaa. Ilipofika saa 4 usiku yule dada alipiga hodi kwenye chumba cha yule kaka akidai kuwa chumbani kwake kuna mdudu nge na anaogopa kulala kwenye chumba hicho. Yule kaka alijitahidi kumulika kwa tochi uvunguni mwa kitanda na kila mahali ili amuue yule nge lakini hakuonekana. Baada ya hapo yule kaka alimshauri yule dada ahamie chumbani kwake kwa kuwa kitanda kilikuwa kimoja walikubaliana kulala mzungu wa nne yaani kila mmoja akilala kichwa kimoja kywenye mchago na kingine kwenya tendegu ili kukwepa kupata kishawishi. Yule kaka alipata shida sana lakini alimudu mtihani kwa kujizuia na tamaa ya mwili, alifikiri mambo mengi kwamba yawezekana ni mtego wa yule dada kutaka kumpima au pengine huenda alikuwana nia mbaya kama angeshindwa kuvumilia amwingize kwenye kesi ya kubaka. Wana JF naomba mchango wenu Jee yule dada alikuwa na lengo gani kwa huyo kaka, kwani kama alikuwa anampenda au anamtaka si angemueleza kuliko kumtia majaribuni? Karibuni mwenye hoja atoe hoja yake kwani swala hili bado lina mtesa yule rafiki yangu.