Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Aiseeeeee Mtihani na mtihani kweli kweli.
Mdogo mdogo tutafikaaaaaa.
Yajayo yanafurahishaa
Raha kama hizi kuna baadhi watazisikia kwenye bombaaa
Aiseeeeee Mtihani na mtihani kweli kweli.
Usijali nalet popcorn tukae pamoja kuyatizama masinesinemaMi naona masinesinema tu
Tz ya sasa ina vituko sana..bora lakini tupunguze stressUsijali nalet popcorn tukae pamoja kuyatizama masinesinema
Aliahidi pia kuwaondoa ombaomba wote ndani ya jiji.Nakumbuka akikataza uvutaji wa sigara hadharani
Hii ni picha yakiwakilishi cha ndoa na furaha.... Lakini hii ni sawa na maji yenye kina kirefu... Usijaribu kuyaingia kama hujui kuogeleaAiseeeeee Mtihani na mtihani kweli kweli.
Mdogo mdogo tutafikaaaaaa.
Yajayo yanafurahishaa
Raha kama hizi kuna baadhi watazisikia kwenye bombaaa View attachment 740007
Usimtishe mwenzio ndoa ina raha yake mkikubali matokeoHii ni picha yakiwakilishi cha ndoa na furaha.... Lakini hii ni sawa na maji yenye kina kirefu... Usijaribu kuyaingia kama hujui kuogelea
Mtazamo wangu kuhusu wanawake waliotelekezwa na watoto
Lakini inaumiza sana pale mwanaume anapokataa kabisa kumuhudumia mwanae.
Sheria mpya imtake mama kuchangua walau 20 elfu kwa mtoto ambae anaishi na Baba Yake.
We jamaa unajuje? Dah unatisha, tena hapo mademu wa keko mwanga/ magurumbasi kwa manyema, tandale, uwanja wa fisi vingunguti mbagala na kwingine kunako fanana na huko ndio wamejazana.huwezi kuwakuta wa kutoka masaki, msasani, mbezi tanki bovu, na kwingineko kunako fanana na huko kwenda kujidhalilisha.Kuna wanawake wengi tu wanaojitambua hawakujitokeza pale kufanyiwa udhalilishaji kwa manufaa ya wengine... Wanawapenda sana watoto.... Wanazitambua haki za mtoto na privacy zao... Hawakutaka kuwa sehemu ya jinamizi litakalomtesa mtoto mbeleni.. Maandishi hayafi picha hazifutiki....
Kwao yaliyotokea yametokea... Waliweza kusimama tena kama single mothers na sasa wako vizuri... Na wengine wamefuata njia sahihi za kudai matumizi ya mtoto au whatever.......
Shida iko kwa hawa ma jobless.. Kucha kuta kiguu na njia mara kigodoro.. Mara kumtoa mwali... Mara kumtoa mtoto... Mara kumtia mtoto sunah... Kama si hayo basi ustawi wa Jamii otherwise vibarazani kuteta umbea