GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,554
- 108,894
Kwa Matokeo ya Chamazi Complex Jana Usiku, kwa Presha Kubwa iliyoko sasa, kwa Ratiba ngumu ya Ligi Kuu na ile ya ASFC, kwa Rotation ya Wachezaji ili Kukwepa injuries na kwa Mawazo pamoja na Maandalizi ya Mechi na Waafrika Kusini katika Robo Fainali ya CAF Kiufundi GENTAMYCINE naona kuna Uwezekano mkubwa wa Kuangusha Alama Muhimu ama na Coastal Union FC leo au na Police Tanzania Jumapili hali ambayo itawahakikishia rasmi Ubingwa Wapinzani kwani tayari watakuwa wameshajikusanyia Alama ( Points ) nyingi za kuwapa Jeuri hiyo.
Nasisitiza huu ni Mtizamo wangu wa Kiufundi Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uuamini au Uuchukue bali naomba / nakuomba tu Uuheshimu na kama hiki nilichokiandika Kitakukwaza ( Kitakukera ) nakusihi Vumilia tu kwani wengine tumebarikiwa kuwa Wakweli, Waona Mbali na hatujawahi ama Kuhisi Kitu au Kutabiri Jambo halafu kwa 75% hadi 99.999% kisiwe / lisiwe Kweli.
Na kama labda utakuwa na Hasira ( Jazba ) mno na GENTAMYCINE kwa huu Mtazamo wangu wa Kiufundi kutokana na Mapenzi ( Mahaba ) niue yako kwa Klabu yako pendwa nakuomba Kwanza anza Kuwakasirikia Viongozi wako ( hasa Mwekezaji wako ) ambaye alisitisha ( aligoma ) kutoa Posho kwa Wachezaji na CEO wenu nae akawacheleweshea Mishahara Wachezaji wenu hali iliyopelekea Wachezaji kushuka Morali na hatimaye Kuharibu Mechi ya Mbeya na Mbeya City FC na ile ya Kagera na Kagera Sugar FC.
Niwatakieni tu Karume Day njema Leo.
Nasisitiza huu ni Mtizamo wangu wa Kiufundi Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uuamini au Uuchukue bali naomba / nakuomba tu Uuheshimu na kama hiki nilichokiandika Kitakukwaza ( Kitakukera ) nakusihi Vumilia tu kwani wengine tumebarikiwa kuwa Wakweli, Waona Mbali na hatujawahi ama Kuhisi Kitu au Kutabiri Jambo halafu kwa 75% hadi 99.999% kisiwe / lisiwe Kweli.
Na kama labda utakuwa na Hasira ( Jazba ) mno na GENTAMYCINE kwa huu Mtazamo wangu wa Kiufundi kutokana na Mapenzi ( Mahaba ) niue yako kwa Klabu yako pendwa nakuomba Kwanza anza Kuwakasirikia Viongozi wako ( hasa Mwekezaji wako ) ambaye alisitisha ( aligoma ) kutoa Posho kwa Wachezaji na CEO wenu nae akawacheleweshea Mishahara Wachezaji wenu hali iliyopelekea Wachezaji kushuka Morali na hatimaye Kuharibu Mechi ya Mbeya na Mbeya City FC na ile ya Kagera na Kagera Sugar FC.
Niwatakieni tu Karume Day njema Leo.