Mtazamo wa wanazi wa Arsenal juu ya Ozil!!

Ubumuntu

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
14,316
10,782
Mashabiki wa Arsenal wanamwonaje Ozil? Angalia picha hii ili upate majibu!!
 

Attachments

  • 8b4ffd2446372880b785edcd6f0012a3.jpg
    8b4ffd2446372880b785edcd6f0012a3.jpg
    31.7 KB · Views: 385
acha utoto kijana we ulidhani arsenal hawataweza kusajili kinda kama ozil nin.i we wa zamani sana
 
Kajinyonge tu.........

Ozil ni usajili ambao umefunika Ulaya na dunia nzima kwa kuwa hata huyo Bale wa euro 100M Real Madrid wameonekana kupoteza pesa na Arsene Wenger ndio anaonekana amesajili mchezaji anaendana na thamani halisi ya fedha zilizolipwa kwa mchezaji husika,ndio maana ManUtd,Tottenham pamoja na kusajili wanaonekana hawakufanya kitu kikubwa kama Arsenal kwa Ozil,angalia mwenyewe watu wanauliza Real Madrid wanafikiria nini kumuachia mchezaji kama Ozil kwa ajili ya Gareth Bale ?



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ozil ni usajili ambao umefunika Ulaya na dunia nzima kwa kuwa hata huyo Bale wa euro 100M Real Madrid wameonekana kupoteza pesa na Arsene Wenger ndio anaonekana amesajili mchezaji anaendana na thamani halisi ya fedha zilizolipwa kwa mchezaji husika,ndio maana ManUtd,Tottenham pamoja na kusajili wanaonekana hawakufanya kitu kikubwa kama Arsenal kwa Ozil,angalia mwenyewe watu wanauliza Real Madrid wanafikiria nini kumuachia mchezaji kama Ozil kwa ajili ya Gareth Bale ?



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Wewe ndiye mfano halisi wa mshabiki wa Arsenal wenye majibu kama yale pale juu!!

Ila kumbuka kitu kimoja; hii ni EPL, siyo La Liga. Msije mkatafuta mchawi baadaye! Msifikiri, Ozil atapiga pasi zake nyingi ndani ya EPL; yenye wachezaji wenye roho ngumu kama Shawncross.
 
Wewe ndiye mfano halisi wa mshabiki wa Arsenal wenye majibu kama yale pale juu!!

Ila kumbuka kitu kimoja; hii ni EPL, siyo La Liga. Msije mkatafuta mchawi baadaye! Msifikiri, Ozil atapiga pasi zake nyingi ndani ya EPL; yenye wachezaji wenye roho ngumu kama Shawncross.


Ozil ni ozil...it doesn't matter the nature of the legue nor the competitors....giroud atang'aa van persie tumwite shombo
 
Ozil ni ozil...it doesn't matter the nature of the legue nor the competitors....giroud atang'aa van persie tumwite shombo

Ona huyu naye! Nature ya league ina determine aina ya uchezaji kwa mchezaji mmoja mmoja.

Katika La Liga, open plays ndizo zinatamba. Ndiyo ni rahisi kwa mchezaji kuwa na goli 40+ kwa msimu mmoja. Kitu ambacho huwezi kukipata EPL.

Unajua toka EPL imeanza, ni Alan Shearer tu ndiye aliyeweza kufunga goli 35 katika msimu wa ligi? Alifanya hivyo mara 2 tu! Haijawahi tokea tena katika EPL mchezaji kufunga goli zaidi ya 35 katika msimu.

La Liga kila msimu, unasikia Messi na Cristiano wanashindana wakiwa na goli zaidi ya 35.

Hiyo inaendana na kwamba, mchezo upo wazi sana; wachezaji wanakaa na mipira na kutoa pasi nyingi, zinazozaa magoli mengi!

EPL ukikaa na mpira sana, utaambulia kuvunjwa mguu na kina Shawncross! EPL ni physical league; hivyo husitegemee Ozil kufanya aliyokuwa akiyafanya La Liga, pamoja na uzuri wake!
 
Wewe ndiye mfano halisi wa mshabiki wa Arsenal wenye majibu kama yale pale juu!!

Ila kumbuka kitu kimoja; hii ni EPL, siyo La Liga. Msije mkatafuta mchawi baadaye! Msifikiri, Ozil atapiga pasi zake nyingi ndani ya EPL; yenye wachezaji wenye roho ngumu kama Shawncross.

nadhani leo umepata jibu la utumbo uloandika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom