Mtazamo: Mkullo aiponza Serikali

mchemsho

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
3,212
867
Taarifa ya Mh. Zitto kutangaza kukusanya saini za wabunge 70 ili kupata uhalali wa kuitisha kura ya maoni ya kutokuwa na imani na waziri mkuu iwapo mawaziri wanaolalamikiwa hawatajitathmini na kujiona kama bado wanastahili kuendelea kuwa mawaziri. Binafsi inanikumbusha malumbano ya mwaka jana kati ya Zitto na Mkullo, ambapo zitto alitoa taarifa bungeni kwamba serikali imefilisika na haina fedha hata za kulipa mishahara.! Kwa upande wake waziri mkullo alimjia juu zitto na kumnanga eti anajitafutia umaarufu, malumbano yaliendelea ndani na nje ya bunge, mwisho wa siku ukweli ulijitenga , kweli serikali imeishiwa na madeni yanaongezeka. Lakini pia hapo jana bungeni zitto alimtuhumu mkullo kwamba ndie waziri anaengoza kwa safari za nje na ndio wizara inayoongoza kwa madudu. Kwa maoni yangu naona zitto ameitega serikali ili mkullo aondoke na yeye asimame kifua mbele. Nawasilisha.
 
kwanza inawezekana kajificha nyumbani kwake Kimamba, Kilosa ... hajaenda Washington huyu
 
Taarifa ya Mh. Zitto kutangaza kukusanya saini za wabunge 70 ili kupata uhalali wa kuitisha kura ya maoni ya kutokuwa na imani na waziri mkuu iwapo mawaziri wanaolalamikiwa hawatajitathmini na kujiona kama bado wanastahili kuendelea kuwa mawaziri. Binafsi inanikumbusha malumbano ya mwaka jana kati ya Zitto na Mkullo, ambapo zitto alitoa taarifa bungeni kwamba serikali imefilisika na haina fedha hata za kulipa mishahara.! Kwa upande wake waziri mkullo alimjia juu zitto na kumnanga eti anajitafutia umaarufu, malumbano yaliendelea ndani na nje ya bunge, mwisho wa siku ukweli ulijitenga , kweli serikali imeishiwa na madeni yanaongezeka. Lakini pia hapo jana bungeni zitto alimtuhumu mkullo kwamba ndie waziri anaengoza kwa safari za nje na ndio wizara inayoongoza kwa madudu. Kwa maoni yangu naona zitto ameitega serikali ili mkullo aondoke na yeye asimame kifua mbele. Nawasilisha.

Hiyo ndiyo vita ukianza lazima iishe na kieleweke. Zitto safi sana.
 
Taarifa ya Mh. Zitto kutangaza kukusanya saini za wabunge 70 ili kupata uhalali wa kuitisha kura ya maoni ya kutokuwa na imani na waziri mkuu iwapo mawaziri wanaolalamikiwa hawatajitathmini na kujiona kama bado wanastahili kuendelea kuwa mawaziri. Binafsi inanikumbusha malumbano ya mwaka jana kati ya Zitto na Mkullo, ambapo zitto alitoa taarifa bungeni kwamba serikali imefilisika na haina fedha hata za kulipa mishahara.! Kwa upande wake waziri mkullo alimjia juu zitto na kumnanga eti anajitafutia umaarufu, malumbano yaliendelea ndani na nje ya bunge, mwisho wa siku ukweli ulijitenga , kweli serikali imeishiwa na madeni yanaongezeka. Lakini pia hapo jana bungeni zitto alimtuhumu mkullo kwamba ndie waziri anaengoza kwa safari za nje na ndio wizara inayoongoza kwa madudu. Kwa maoni yangu naona zitto ameitega serikali ili mkullo aondoke na yeye asimame kifua mbele. Nawasilisha.

Mkuu VITA AKILI!
 
Nimeanza kuamini wale wazee wanaosema kuwa walimuona Mkulo akija na baba yake akitokea Malawi.
Maana hana ata hcembe ya uchungu na fedha za nchi hii
 
yan filikunjombe amemtaja waziri mbadhirifu wa mali za umma kuliko wote waziwazi duuuuu jamani jioni hii bungeni hapatoshi yan bunge hadi raha kuangalia.haki ya kweli watu tunakatwa kodi bila huruma halafu wanatafuna??????mwisho wao umefika
 
Zitto ameitega serikali ili Mkulo aondoke, na yeye asimame kifua mbele!
Mkuu! So what is your point here?
 
Taarifa ya Mh. Zitto kutangaza kukusanya saini za wabunge 70 ili kupata uhalali wa kuitisha kura ya maoni ya kutokuwa na imani na waziri mkuu iwapo mawaziri wanaolalamikiwa hawatajitathmini na kujiona kama bado wanastahili kuendelea kuwa mawaziri. Binafsi inanikumbusha malumbano yona zitto ameitega serikali ili mkullo aondoke na yeye aQUOTE]
KWA MASLAHI YA TAIFA
 
Jamani, Hapa hoja siyo vita kati ya ZItto na Mkullo! Suala zima ni ufujaji wa hela serikalini haswa kwa Mkullo! Mnaichengesha hoja nionavyo mimi
 
tusiikimbie hoja na kuangalia swala la Zitto vs Mkullo.. hoja hapa ni kuiwajibisha serikali.
 
Back
Top Bottom