Maneno ya kweli na mifano halisi likini katika matumizi mabaya.
Hatulazimishwi demokrasia tunatakiwa kuiheshimu demokrasia.
Kwa kushindwa kufuata na kuenda haki tutalia na kusaga meno.
Amerika ina haki ya kufanya hivyo. Tunawajibu wa kuilaumu CCM. Fikiria walivyokomalia umeya wa Dar, walivyokanyaga haki nyingi za binadamu. JPM analofanya hakuna bila haki, ni ubatili mtupu
Na Tanzania ina haki ya kuwa na msimamo huru usioyumbishwa na matakwa ya mabeberu wa nje! Eti Demokrasia! Mbona Misri inatawaliwa kijeshi na kwa mkono wa chuma na bado Marekani inawakumbatia? Nani asiyeyafahamu mauaji ya kimbari wanayofanyiwa Wapelestina na Mayahudi, lakini Marekani inauchuna tu kwa vile ina maslahi yao. Tanzania ikaze buti na kuachana na MCC 2 inayolenga kuwanufaisha mabepari wa Marekani Zaidi kuliko sisi. Na ma opportunist wa bongo wakome kushadidia ugandamizaji huo kwani hautaganga njaa zao.