Mtatiro unapoteza muda CUF...karibu CHADEMA!

Changieni mada acha kukosoa mada.
Hapa ndo unajua nani ni nani.
 
Changieni mada acha kukosoa mada.
Hapa ndo unajua nani ni nani.
ikiona hivyo ujue kilicholetwa jamvini ni cha kipumbavu bora kingekuwa cha kijinga ,hakina maana ,leta issues ya maana kuliko kuleta hisia .
uwanja wa ndege mwanza umejaa maji

 

pombe za weekend
 
He is a right person at the wrong Place, lets advise him to go where he deserve to be and thats no where more than CDM where true freedom fighters are, where people with vision to take Danganyika are
 
ITATIRO........................ULIMAANISHA gUTRAM iTATIRO MBUNGE WA ZAMANI WA ULANGA ?
 
Baada ya Faustin Sungura kujikomba jana kwenye mdahalo akikandia hoja ya haki ya kuandamana kwa sababu anazozijua mwenyewe, aliinuka kamanda Julius Mtatiro na kusema kwa ujasiri mkubwa kile Sungura alichoshindwa kusema tena akiwa amepoteza ujasiri kabisa. Wachambuzi wa public speaking mtaona wazi kabisa kuwa Sungura alikuwa akisema kana kwamba ameambiwa ukisema tofauti na haya umekwisha. Hakusema toka nafsini mwake bali out of pressure. Mtatiro alitetea demokrasia akijua wazi kuwa kama leo mtu mmoja amefanyiwa vile, basi kesho kuna mwingine aweza kufanyiwa vibaya zaidi na kumkanushia moja kwa moja mjeshi aliyemwakilisha Mkuu wa majeshi.

Tangu siku nyingi niliwahi kuwaambia baadhi ya vijana kuwa Mtatiro ni mwanasiasa mzuri ila nahisi yuko choo cha kike. Mifano inayoonyesha ni cha kike ni kauli ya mwenyekiti wake kufanya kampeni za waziwazi msikitini hivi karibuni na picha zake kupostiwa UTube na yeye kushindwa kukanusha.

Nadhani Mtatiro hujachelewa, msimamo wako tunaufahamu, wewe bado ni kijana...unangoja nini huko CUF? Toka ndugu yangu toka ukaungane na wapambanaji wenzako mkomboe nchi hii toka kwenye mikono ya mabeberu.
 

hata mimi nimemshauri sana ahame huko cuf, ambayo inatuhumiwa kuwa ni ccm b.
 
huyu jama namkubali sana, msimamo wake kuhusu mikopo wa wanafunzi wa elimu ya juu mwaka 2006-2008 ulitusaidia walio wengu kusoma pale udsm. ni mwana mapinduzi halisi.., maana jamaa aliwahi kukesha pale nje ya bodi akishinikiza tupewe mikopo na tukapata kweli.

baada ya kumaliza chuo alikuwa mwanachadema, japo sina uhakika sana kama kadi alikuwa nayo, lakin alishiriki harakati za chadema, aliomba nafasi pale makao makuu viongoz hawakumpatia nafasi wakidai asubiri kwanza akomae katika chama..

cuf kwa kujua how potential he was at udsm, wakamnyakua na kumpa ukurugenz wa haki za binadam. mpaka saiv amefikia hapo alipo.

alijiunga cuf kwa sababu aliona chadema hawakujali umuhimu wake kwa wakati ule, ila kimsingi anaikubali chadema kama first choice, basi tu njaa zilimpeleka chadema.
 
Aje CDM alaf utamlipia kod ? Mwache apambane huko huko kwanza, pakmshinda atarud... ila ni kat ya vijana wachache saana wa CUF ( pamoja na mh. MAGDALENA SAKAYA)wenye uwezo wa hal ya juu, katika kujenga hoja zenye maslah ya taifa, bila kumsifia mkoloni.. BIG UP JEMBE MTATIRO.
 

Hujielewi wewe!!
 
Ni suala la muda tu, Julius Mtatiro, Magdalena Sakaya au Buruhani Bwegie ipo siku watahama au watafukuzwa CUF. Wapi watakwenda, kila mtu anajua!!
 
Tatizo CUF walishafunga ndoa na SSM sasa naye kama kiongozi si alikubali ndoa!!! Apewe kwanza talaka au akaombe talaka tatu ndipo apeleke maombi kwa chama cha kizalendo!!! Maombi yatafikiriwa na kupitiwa kwa kina isije ikawa ni pandikizi kama Shibuda!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…