Mtatiro unaishiwa pumzi kwa kasi kuliko Kingunge

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Habari wana JF!

Ninapenda kumuonya kijana alikuwa anakuja vema kwa siasa zenye mashiko lakini nimegundua anaishiwa pumzi kwa kasi kuliko Kingunge.

Amekumbwa na ugonjwa unaoitwa "mfumo"..yaani kwake yeye anamaanisha Raisi kwa sasa asichukuwe hatua yoyote dhidi ya ubadhirifu wala watendaji wazembe...ni upuuzi wa daraja la kwanza!

"Mfumo" nini?..kama ni katiba haiwezi kuja kulala na kuamka!...kama ni "sheria" haziwezi kutungwa mara moja.tokea bunge lizinduliwe kwa mujibu wa katiba kumekuwa na mikutano miwili Novemba,2015 ambacho ajenda ilikuwa ni kuapishwa wabunge,waziri mkuu na Raisi kuzindua bunge.Kikao cha pili ilikuwa Januari,2016 ajenda ni kujadili hotuba ya Raisi na kujadili mpango wa serikali...hakukuwa na ni kwa mujibu wa Katiba.

Mtatiro napenda wewe na wafuasi wako mjue kuwa idadi ya vikao vya bunge vipo kikatiba kinachohitajika sasa ni kuandaa utaratibu maalum utakaoridhiwa na wabunge walio wengi na sio wabunge wa "FB"..hiyo ndio demokrasia.

Kwa siku za karibuni umejishushia heshima,hukusimamia misingi uliyoamini kisa ubunge ambao ulikosa..uldhihaki Prof.Lipumba mitandaoni kwamba "kachukuwa hela" baada ya kuachana na uchumia tumbo wenu na kuachia usukani,hukumuheshimu mtu aliyekufunza siasa za kweli sababu ya "tumbo"...sasa una "stress".

Kwa uelewa wako usipende kuandika mada asubuhi,mchana,jioni zisizo na msingi..hayo ni mambo ya vijana wasio na weledi.Kwani kwa sasa wale washabiki wako zaidi ya 90 asilimia wanakukejeli na walio na busara wamekaa hatuchangii,ila jirekebishe.


Ni
 
Mkuu hapo juu..
Unachukii binasfii na Ndugu Mtatiro..
Mawazo yake ww yanakuuma vipii, yapaswa kuyaheshimu nakama yanakuuma pita kimyakimya
 
Sasa kama mtu alianzakumshabikia ED na kumponda professor lipumba kwa kuwa tu alionyesha dhamira ya dhati ya kuto kukubali uchafu
 
Nawachukia sana watu wasiopenda kukosolewa...... wakisemwa kidogo tu mapovu yanawajaa midomoni. Sasa Mtatiro kafanya nini tena hapa? yaani kutoa maoni yake (yanayotofautiana na maoni ya watu wa Chama X) ndiyo inakuwa nongwa? Narudia tena.. Tutaendelea kuwakosoa.
 
Nawachukia sana watu wasiopenda kukosolewa...... wakisemwa kidogo tu mapovu yanawajaa midomoni. Sasa Mtatiro kafanya nini tena hapa? yaani kutoa maoni yake (yanayotofautiana na maoni ya watu wa Chama X) ndiyo inakuwa nongwa? Narudia tena.. Tutaendelea kuwakosoa.
 
Habari wana JF!

Ninapenda kumuonya kijana alikuwa anakuja vema kwa siasa zenye mashiko lakini nimegundua anaishiwa pumzi kwa kasi kuliko Kingunge.

Amekumbwa na ugonjwa unaoitwa "mfumo"..yaani kwake yeye anamaanisha Raisi kwa sasa asichukuwe hatua yoyote dhidi ya ubadhirifu wala watendaji wazembe...ni upuuzi wa daraja la kwanza!

"Mfumo" nini?..kama ni katiba haiwezi kuja kulala na kuamka!...kama ni "sheria" haziwezi kutungwa mara moja.tokea bunge lizinduliwe kwa mujibu wa katiba kumekuwa na mikutano miwili Novemba,2015 ambacho ajenda ilikuwa ni kuapishwa wabunge,waziri mkuu na Raisi kuzindua bunge.Kikao cha pili ilikuwa Januari,2016 ajenda ni kujadili hotuba ya Raisi na kujadili mpango wa serikali...hakukuwa na ni kwa mujibu wa Katiba.

Mtatiro napenda wewe na wafuasi wako mjue kuwa idadi ya vikao vya bunge vipo kikatiba kinachohitajika sasa ni kuandaa utaratibu maalum utakaoridhiwa na wabunge walio wengi na sio wabunge wa "FB"..hiyo ndio demokrasia.

Kwa siku za karibuni umejishushia heshima,hukusimamia misingi uliyoamini kisa ubunge ambao ulikosa..uldhihaki Prof.Lipumba mitandaoni kwamba "kachukuwa hela" baada ya kuachana na uchumia tumbo wenu na kuachia usukani,hukumuheshimu mtu aliyekufunza siasa za kweli sababu ya "tumbo"...sasa una "stress".

Kwa uelewa wako usipende kuandika mada asubuhi,mchana,jioni zisizo na msingi..hayo ni mambo ya vijana wasio na weledi.Kwani kwa sasa wale washabiki wako zaidi ya 90 asilimia wanakukejeli na walio na busara wamekaa hatuchangii,ila jirekebishe.


Ni


nilichogundua jf ni kwamba mtu mmoja akileta habar za kumhusu mtu flani basi wote akili zao zinaegemea huko huko kumbuka kuna wenzio walishaleta mada humu toka juz tena utitiri kisa mtatiro kampinga magufuli kuna mambo mengi ya kufanya na kutafuta habari nzur za kuelimisha jamii jaribuni kuwa wabunifu sio kia siku jambo hio hilo ambalo wenzio washalitolea ufafanuz na kumuelewesha mtatiro watu wenye kariba hii jaribuni kubadilika tunataka habar mpya na matukio mapya yenye maslah kwa taifa la tz. mada haijaisha mwingine anatengeneza ingine content ni ile ile yafaa ujazie nyama kwa muda husika kama una hoja.
 
nilichogundua jf ni kwamba mtu mmoja akileta habar za kumhusu mtu flani basi wote akili zao zinaegemea huko huko kumbuka kuna wenzio walishaleta mada humu toka juz tena utitiri kisa mtatiro kampinga magufuli kuna mambo mengi ya kufanya na kutafuta habari nzur za kuelimisha jamii jaribuni kuwa wabunifu sio kia siku jambo hio hilo ambalo wenzio washalitolea ufafanuz na kumuelewesha mtatiro watu wenye kariba hii jaribuni kubadilika tunataka habar mpya na matukio mapya yenye maslah kwa taifa la tz. mada haijaisha mwingine anatengeneza ingine content ni ile ile yafaa ujazie nyama kwa muda husika kama una hoja.
 
Mtatiro ameishiwa. Me naangalia tu FB na kupita. Maana hajui hata mfumo unaendeshwa na watu. Anashindwa kujua kuwa JK alikuwepo akashindwa hata kutumia kilichoandikwa katika Katiba wala Sheria na Kanuni zake.

Wengi wetu hatuna upeo wa kuona na kuchangia, ndo kinachomkuta Mtatiro kwa sasa. Lazima akumbuke kuwa walikuwepo watu wengi wa mitandaoni ila walishindwa katika majukwaa ya kisiasa kwa sababu humu mitandaoni kuna mashabibi zaidi ya upembuzi.

Cha msingi ni kuangalia njia zake. Ameshikilia kauli za UKAWA za "MFUMO". Huu ni upunzi.

Mbona kama mchambuzi hajawahi tokea aandike kosa la UKAWA kumkaribisha Lowassa na kundi lake la wezi. Mbona ameshindwa kuzungumza kwa uwazi jinsi CHADEMA ilitumia nguvu kumzuia na kuzuia wagombea wa CUF katika uchaguzi uliopita.

Nikiangalia watu wanaotoa maoni katika ukurasa wake naona wengi ni mashabiki na waliochoka kufikri.
 
Alichelewa kupata umaarufu wa kisiasa na ubunge kaukosa, ili aendelee kubaki kwenye jukwaa la kisiasa ni lazima mara kwa mara atoke na hoja hata kama ni mufilisi maana utawala huu umeua kabisa hoja zenye mashiko kwa upinzani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom