pakiwa na refa mzuri kuna ntu itaumbuka
Unachokosea ni kwamba wote ni watendaji katika vyama vyao, naibu katibu mkuu ni mtendaji na makatibu wa itikadi ni watendaji kwa hiyo mtatiro(Naibu katibu mkuu) na nape - katibu wa uenezi hawana tofauti kubwa sana, ambacho ni muhimu kukitizama ni kuwa wote bi vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na wana uwezo wa kushawishi mambo fulani.
Kwa CUF kitengo hicho kinaitwa KURUGENZI YA HABARI,UENEZI NA HAKI ZA BINADAMU, inaongozwa na Mhe. Amina Mwidau(MB) - Viti maalum kutoka mkoa wa Tanga(M.A in Mass Communication). Kwa sasa yuko bungeni na kipindi kiko Dar kwa hiyo inahitaji upeleke mtu mwingine, na kwa sababu Nape ni mtu wa propaganda kali inahitaji apambane na watu wenye uelewa mkubwa thats why tumempeleka Mtatiro kwa kuamini uwezo wake.
Lakini katika programu mbalimbali za TV na REDIO tumekuwa tukiwapeleka watu tofauti, siku kadhaa zilizopita katika mjadawa wa asubuhi TBC alikwenda AMINA MWIDAU mwenyewe na mara nyingi sana tunawapeleka watu tofauti, Mtatiro ni mmoja wao tu na hatuna Ubaguzi.
Kwa sasa ASHURA Mustapha yuko busy na umaliziaji wa dissertation yake ya M.A na akikamilisha najua mtamuona akitumika kwa shughuli kama hizi.
Nadhani nimekujibu vizuri.
UDSM unayoiongelea ni ipi? kila mtu alikuwa UDSM bradha.
Kaka tusaidie Daud Deo yuko wapi maana nilihisi na yeye ni jembe?!!, vp kapotelea wapi?Wewe ongelea hizo vyeo vyenu vya CUF, vya UDSM usiongee kwa kuwa nilikuwa behind kumpa vyeo vyote hivyo, aliletwa ofisini kwangu na Daud Deo nimsaidie nikafanya hivyo kwa kuwapa fund na back up ya watu wangu wote wa UDSM, hakuwahi kushinda na anaogopa uchaguzi. Kwa vyeo vya CUF kama mwenyeketi ni Lipumba sishangai hata mkiokota mwehu akawa katibu mkuu.
Kwa hiyo wewe unahusika na kuweka viongozi wehu kwenye nafasi mbalimbali eeh!!UDSM hiyo uliyo kuwa wewe mimi sijawahi kuwa hapo, nimemfahamu mwita kupitia Daudi Deo. Siwezi kumuita kichwa hata mkimuweka kwenye wodi mirembe.
NI WARDEN wa bweni pale mlimani!!Kaka tusaidie Daud Deo yuko wapi maana nilihisi na yeye ni jembe?!!, vp kapotelea wapi?
Kaka tusaidie Daud Deo yuko wapi maana nilihisi na yeye ni jembe?!!, vp kapotelea wapi?
NI WARDEN pale mlimani!!
Bata akihara, sio mgonjwa, ndo maisha yake hayo! kazoea kuhara!Erasto tumbo huna hoja!!
Wakuu mtujuze kinachoendelea wengi tupo mbali na TV
Mkuu, vipi Nape usoni kamkorogo akìpigwa na taa za Studio uso unawaka?Bunge la chama kimoja lilikuwa hot kuliko hili:nape huyo,na anaongeza kuwa wao kama chama huijadili bajeti,