Nimejulishwa na Mliman TV kuwa hawa jamaa wataunguruma mida ya usiku wa leo LIVE juu ya muelekeo wa nchi, na kama sikosei Nape ataenda kueleza namna CCM ilivyoleta maendeleo ya kufa mtu, Sijui patakuwaje maana ake atakutana na vichwa. Ama ndi Gamba litavuliwa Live leo.