Mtatiro apitishwa kugombea Ubunge Segerea

Mtatiro apitishwa kugombea Ubunge Segerea

Afadhali Huyo huyu wa kijani aliyepo afya arijojo apumzike
Kwa amani mtatiro afanye kaz
 
Naam akisubiri ridhaa ya UKAWA toka miongoni mwa wagombea wengine toka umoja huo. Jimbo la segerea ni moja ya majimbo tata kwa Viongozi na wafuasi wa vyama vyote vilivyomo kwenye umoja huo.

Nadhani mkakati wa pili unatakiwa uwekwe kwa Meya, endapo Mbunge atatoka chama hiki Meya atoke chama kingine, hapo tunaweza kuvuka. Vinginevyo ni mtafaruku mtakatifu.

BACK TANGANYIKA

Tusubiri.
 
Naam akisubiri ridhaa ya UKAWA toka miongoni mwa wagombea wengine toka umoja huo. Jimbo la segerea ni moja ya majimbo tata kwa Viongozi na wafuasi wa vyama vyote vilivyomo kwenye umoja huo.

Nadhani mkakati wa pili unatakiwa uwekwe kwa Meya, endapo Mbunge atatoka chama hiki Meya atoke chama kingine, hapo tunaweza kuvuka. Vinginevyo ni mtafaruku mtakatifu.

BACK TANGANYIKA

Tusubiri.
I salute you my teacher. Indeed you should be one amongst UKAWA's think tank. You're very helpful. Thanks.
 
Majimbo ya DSM UKAWA hawajaachiana na hilo walilisema hadharani....so ni mchakato ndani ya Chama chake huo
 
Nani ni nani ubunge segerea 2015: Julius Mtatiro, CUF.
 
kwa level ya ubunge sina mashaka ukawa itapata zaidi ya majimbo 150!
 
I salute you my teacher. Indeed you should be one amongst UKAWA's think tank. You're very helpful. Thanks.

Bravo comrade, Together we can.!

But umeadimika kidogo Kamanda wangu, habari ya wapi mkuu?

BACK TANGANYIKA
 
Tatizo ni Chama alichochagua kuwa kwacho
 
namkubali sana Mtatiro, nakumbuka harakati zake za kisiasa alipokua PM pale Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
 
Pale angemuachia mpendazoe.then yeye aende ukonga ingekuwa poa sana
 
Back
Top Bottom