wangapi ni suala gumu kubainisha namba yao ila anatosha kusema wengi maana amekuwa gumzo sehemu yoyote ninapofika na kukuta hoja juu yake zaidi hata mkuu wa kaya na hata hapa najua hata wewe kuanza mjadala wa majibizano na mimi ni jibu tosha kwako kuwa huyu slaa ni gumzo japo waweza kataa kwa sababu uzijuazo wewe mwenyewe na huenda na ubishi wa kimazoea tu,pili si wapinzani tu wanaomkubali hata magamba wanamkubali(rejea kauli za samwel sita bukoba kuwa tishio ni dr,slaa) ipa mtatiro jana kawakilisha cuf kumkubali dr slaa wangu,viongozi wa dini (rejea kauli za padri mapunda mara kwa mara),mikusanyiko mikubwa ya watu anapokuwa anatembea poipote mikoani ni ishara tosha,tatu ushaidi wangu kuwa alishinda ni kushindwa kwa tume ya uchaguzi kutupa matokeo mpaka leo yenye mchanganuo wa kimajimbo mwisho siwezi kukwambia mimi nilikuwa wapi kwani si muhimuzaidi ya hayo......may be nzi ...over.....when FBI investigates FBI is your challenge