yes na kumhakikishia hilo tangu JK aingie madarakani hayawahi -- narudia tena hajawahi kutoa kebehi / dharau ya aina yoyote kwa DR. Slaa - he knows!!! -- our next president. najua nape na rafiki yake mwigilu wananuna sana ila ni sisi watanzania ndiyo tumeamua kumpa nchi 2015.Safi sana Mtatiro Dr. Slaa ni jembe hata Jk anajua hilo
Kwanza kabisa Karibu sana JF. Pili Acha upotoshaji mkuu,wengi tulifuatilia mdahalo ule, alichokisema Mtatiro ni kuwa watakuwa tayari kushirikiana na watu potential bila kujali vyama vyao kumtaja Dr Slaa ilikuwa ni mfano tu lakini hakusema watahakikisha wanamshirikisha Dr Slaa kwenye serikali ya CUF.
Kwanza kabisa Karibu sana JF. Pili Acha upotoshaji mkuu,wengi tulifuatilia mdahalo ule, alichokisema Mtatiro ni kuwa watakuwa tayari kushirikiana na watu potential bila kujali vyama vyao kumtaja Dr Slaa ilikuwa ni mfano tu lakini hakusema watahakikisha wanamshirikisha Dr Slaa kwenye serikali ya CUF.
tusishangilie hili, tujadili kwa mapana na marefu, au tumlishe maneno ANAMKUBALI SLAA au ANAIKUBALI CDM, je? mh SLAA ana nguvu kuliko CDM au CDM ina nguvu kuliko MH SLAA, ? maana kwetu neno usaliti liko karibu saana kulitamka kuliko kulifanyia uchunguzi tukio lililotokea. leo hii CUF na CDM vyote ni vyama vya upinzani kwa sasa kikojawapo kikifanikiwa kuchukua nchi.kingine bado kitakuwa chama cha upinzani. yule kiongozi atakayeteuliwa ili ashiriki kwenye serikali hataitwa MSALITI ? vinginevyo chama chote kiungane na chama tawala kuunda serikali mnakumbuka lugha yetu tutawaita.........B .hivyo tusifie sera za chama .kuliko kusifia mtu.
Mtatiro kama unasoma hapa utauona unafiki wa hawa watu, walikuwa wanakuponda kila leo humu, vile umemtaja babu wamekuona wa maana. Ntakukumbusha siku ukiwapa ukweli watakapokushambulia.
una maana viongozi wa CDM kwa umoja wao wanajenga chama chenye nguvu. ambacho nacho kina mtoa mtu mmoja ambaye ana nguvu umempa urais ,dr slaa una maanisha hivyo.rejea hapo nyekundu....chama ni imara na ni maarufu lakini kinajengwa kutokana na uadilifu wa viongozi wake waadilifu(Dr. Slaa, mbowe, mnyika, lisu, n.k ) so kuna sifa binafsi zinazobeba mantiki ya ubora wa chama husika ila sifa hiyo sharti iende na sifa ya chama na ndicho ninachokiona kwa mh. rais dr. slaa na si vinginevyo
Sasa umeongea nini na mwenye mada kasena nini?
Ni saw 1+2=3-0.
mkuu ningependa ulikanushe gazeti nijuavyo mimi ni kwamba mleta mada amekopi kutoka kwenye gazeti moja la leo mwenyewe pia nimesikia limelipoti hicho kitu
ua viongozi na maanwa CDM kwa umoja wao wanajenga chama chenye nguvu. ambacho nacho kina mtoa mtu mmoja ambaye ana nguvu umempa urais ,dr slaa una maanisha hivyo.
|
| NAIBU Katibu Mkuu wa Cuf Mtatiro Julius na Betty Kangonga |
Mkuu ninachokikataa ni matumizi ya neno "Watahakikisha Dr Slaa anakuwa ni miongoni mwa watu watakaokuwa katika serikali ya CUF"