barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,917
Naona kamati ya Olympic hata picha yake hawana,maana wengine wote picha zao hapo juu zimewekwa.Mtangazaji anasema kwa zaidi ya miaka 30,toka record iwekwe na Juma Nkangaa,Tanzania haijawahi kuingia ktk nafasi kama hii.Hii inaonyesha 2020 Tokyo Tanzania inaweza kufanya vizuri kama majirani zao Kenya
Kilichotuvutia wengi ni mtangazaji kusema "The 5 position goes to Tanzanian,with the slogan of their Presiedent "Hapa Kazi Tu"
Serikali iwekeze kwenye michezo,iache siasa siasa,sio unakuta kiongozi wa Shirikisho la Riadha sijui anaitwa Mtaka Anthony(RC wa Simiyu) mtu ambaye hana record yoyote ya ukimbiaji ktk level ya kimataifa,wanatumia hizi nafasi kwa ulaji na ngazi za kupatia madaraka ya kisiasa