Kwanza unajiuliza Mtanzania gani mwenye akili ya kujificha na 400B?Ring movement hizo.ni makida makida tu hapo,dili hizo znapigwa na wajuv wa mambo sahau kukamatwa na hata akidakwa itaishia habari za gazetin tu
Ni kweli kabisa. Wengi hela nyingi zimewaua. Maana huwa wanafanya mambo ya ajabu sana.Utakufa kabla haijaisha in case fujo zako zikiishia kwenye kununua magari tu. Ukijimix kununua ndege miaka mitano unakuwa maskini wa kutupwa
Akili za kimaskini utaziweza?Pesa za watu unazithaminisha kwa vyumba vya madarasa na makaa ya mawe!!
Nimesoma nikaishia hapo tu.
Na baada ya kumuhoji wakamwacha aendeHuu ni mchezo sio mchafu ila ni umafia uliohalalishwa. Huyo jamaa hao waliomhoji akaahidi kurudi kwa mahojiano zaidi na akapotea mpaka leo walimpata vipi ndo wakamhoji?
Mtu hajulikani kila adress yake ni fake ila kuna waliofanikiwa kumpata na kumhoji kidogo.
Umekunywa tatu: "Daaa! sijui nini kilinituma ninywe bia leo? Hapo nimepoteza kilo nzima ya nyama, daa!!Akili za kimaskini utaziweza?
Kuna wengine akiona gari la millioni 400 barabarani anaanza kulipigia hesabu hyo hela itajenga nyumba ngapi.
Ha! Ha! Ha!Kwanza unajiuliza Mtanzania gani mwenye akili ya kujificha na 400B?
Wanaoibaga less than 1B tu wanakimbiliaga Temeke wanakamatwa kama kuku! Hahah hawanaga akili hata za kutorokea mipakani.
Kuna mahali wametaja namba ya nyumba au mimi ndio sielewi.Kwa miamala yote iliyofanyika kama ni mtu wa kutolea hela dirishani badi ana adress inayoleweka maana bank kuna mambo za fingerprint, cctv camera n.k ina maana bank walifuta hata footage za cctv camera?
Mtu kama huyo unafanya naye mahojiano ambayo hayana hata traces? Hii ni michongo ya watu na inasisha kama hivyo maana biashara yao ishamalizika.
Kama biashara ingekua haijamalizika ungesikia balaa lake na mpaka wangemtia mkononi
Wale jamaa walikua ni wajinga mnooHa! Ha! Ha!
Umenikumbusha wale jamaa wa security group waliokimbia na hela wakaishia kununua viwanja kisemvule na magari used
Mwisho wa siku wakakamatwa km kuku
Kumbuka alikuwa anapokea fedha na kuzitoa kupitia akaunti ya bank iliyopo uswisi.Nimesoma hapo kwa huyo jamaa wa Nairobi mwenye hiyo kampuni ambayo imethibitika haijasajiliwa Kenya (GR Construction Limited) nime- conclude hao Aga Khan nao wanastahili lawama, haiwezekani wafanye kazi na kampuni isiyosajiliwa, hapa nahisi baadhi ya maofisa wake watakuwa wanahusika na huo mchezo mchafu.
Lakini pia, kitendo cha FBI kutilia shaka nyendo za huyo jamaa mpaka waanze kumtafuta inaonesha jinsi taasisi zetu za kiuchunguzi hapa ndani zilivyolala, au inawezekana nao ni sehemu ya hilo dili kuna kitu walipewa wakafungwa midomo.
Nasema hivi kwasababu mabenki yetu mara nyingi yamekuwa yakitoa taarifa za wateja wao kwa serikali, na hao Baclays wana tawi Tz, sasa vipi kwa huyo muhusika ishindikane kumgundua mapema? hapa wafanyakazi wa hiyo benki wanatakiwa kujibu maswali.
Kama ile ya Leonardo de Caprio true story ya jamaa aliyekuwa akichonhesha cheque feki za benki, tamu balaaAisee Habari inasisimua na kupendeza kama movie za Hollywood
Zinaanza mtu anakura bata
Kisha wazee wa kazi FBI wanaingia kati
Sasa ule mchezo mara tanzania mara kenya kutafuta EVIDENCE ndo inafanya MOVIE kuwa moto
sasa hukute hollywood wameitengenezea MOVIE hii utaenjoy
Kwanza hawajui hata kama wamepigwa, they don't care hata wanavyohojiwa, it's like whatever,Kudos to Remtulla
Aga Khan services are a reserve of the elite class, we couldnt care less about their firtunes
Tumechezewa vya kutosha