Mtanzania anesoma Uturuki

Mtanzania anesoma Uturuki

rubibiman

Senior Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
111
Reaction score
44
Kama heading ilivyo naomba kujua kuhusu hii allowance inayotelewa ya 950 TL Serikali ya Uturuki, je inatosha kwa matumizi kweli, kwa mtu mwenye majukumu mengine nyumbani?
 
Inatolewa monthly au ndio hiyo hiyo mwaka mzima?
 
Mbona pesa nyingi hiyo..Actually sijui maisha ya Turkey, ila hapa bongo tunalipwa wastani wa 255,000 kwa mwezi ,linganisha sasa
 
Mbona pesa nyingi hiyo..Actually sijui maisha ya Turkey, ila hapa bongo tunalipwa wastani wa 255,000 kwa mwezi ,linganisha sasa
Duh! Hapo meals zote ni juu yako?
Au kuna offer ya one meal?

Sent from my SM-T561 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom