Wabongo sijui tunakwama wapi kwenye kushikana mkono, unakuta mtu hahitaji msaada wa kifedha lakini anashindwa kusaidiwa.
Kama unaweza kujilipua fanya ivo mkuu. Wakati fulani nilihitaji kwenda Nairobi kuchukua mzigo fulani hv, nilikosa msaada kabisa kwa watu ninaowafaham ikabidi nijilipue nikaenda sijuani na mtu hata mmoja huko, lakini nashukuru Mungu nilifika nikapata marafiki wapya huko na siku hizi naenda bila shida.