ABDALLAH MJUME aka DULLAH au Jr, amefariki leo jumapili asubuhi katika nyumba aliyokuwa akiishi. Sababu ya kifo chake bado haijajulikana,ila taarifa fupi kutoka kwa watu waliokuwa nae inasema kuwa Dullah alikuwa Disco kabla ya kufariki. Wakati huo huo Katibu wa jumuiya ya watanzania anawatangazia watanzania wote wanaoishi Napoli kuwa kutakuwa na mkutano siku ya jumatatu saa kumi jioni kwa ajili ya taarifa kamili ya msiba na mipango ya mazishi,wote mnatakiwa kufika bila kukosa. (INALILLAH WAINA ILAH-RAJ'UN) RIP.
Poleni sana wafiwa, aliye na taarifa zaidi tunaomba atujulishe, kama marehemu mwenyeji wa wapi Tanzania? Jee ameacha mke/mtoto?, taratibu za mazishi nk.
Tunajumuika pamoja kumuomboleza mwenzetu aliyetutangulia katika haki.
Mungu amlaze pema. Amen.