mbona mkuu mkatili hivi mkeo bado uko nae nyumba mojinna lillahi wa inna ilaihi rajiun.
Poleni sana mungu amuweke mahala pema peponi.
Vingenevyo:
Humu watu wakianza kuandika au kutoa taarifa za vilio, nafasi ya kubadilishana hoja itakuwa haipo kabisa.
Labda kwa kuwa huyu mtanzania ni mchaga nini ndo maana taarifa yake inatolewa.?
Hahahha ..kaka sio sababu ya uchagga..ni mazingira tu..lengo ni ubalozi pale kigali ushtuke kidogo..maana una tabia ya kulalalala..kumbuka huyu ni konda tu..na maiti yabidi isafirshwe..so msaada wa ubalozi unahitajika
Ndugu wanajukwaa..naleta habari za masikitiko za kifo cha Mtanzania mwenzetu aliyefariki kwa ajali ya maji hapa Rwanda.Kifo kimemkuta leo mida ya saa nne katika ziwa Kivu- mjini Gisenyi/Rubavu karibu na mpaka wa Goma/Kongo.
Kijana huyo aliyejulikana kwa jina Nasib Athuman(23),Mkazi wa Kinondoni(mchaga);alikuwa katika safari ya masafa marefu kutoka DSM kuelekea Goma-Kongo.Leo asubuhi walifika Gisenyi.Huku taratibu za kuvuka mipaka zikiendelea kijana huyo alikuwa na watanzania wenzake akiwemo kaka yake waliyekuwa pamoja katika roli hilo la mizigo; baada ya kuchezacheza mpira kijana huyo aliamua kwenda kuogelea ziwani(lipo eneo hilo).
Hivyo kijana alielekea eneo moja karibu na hotel ya serena..alijirusha majini(diving)..basi alivyo-dive hakuweza kutokea tena hadi vijana walipoamua kufuatilia na kumkuta chini kabisa akiwa ameshakata roho.Maiti ya kijana huyo imehifadhiwa katika hospitali ya serikali-Gisenyi.Tunasubiri kesho(siku ya kazi) ili kwa kushirikiana na mamlaka husika tutoe taarifa ubalozi wa Tanzania-Kigali kuona taratibu za kusafirisha mwili hapo kesho..Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe.Amina
CHANZO CHA HABARI: mimi mwenyewe nipo eneo la tukio
poleni sana ila isije ikawa kuna hujuma zimefanywa na huyo dikteta maana mpaka sasa hatupo kwenye uhusiano mzuri
Ndugu wanajukwaa..naleta habari za masikitiko za kifo cha Mtanzania mwenzetu aliyefariki kwa ajali ya maji hapa Rwanda.Kifo kimemkuta leo mida ya saa nne katika ziwa Kivu- mjini Gisenyi/Rubavu karibu na mpaka wa Goma/Kongo.
Kijana huyo aliyejulikana kwa jina Nasib Athuman(23),Mkazi wa Kinondoni(mchaga);alikuwa katika safari ya masafa marefu kutoka DSM kuelekea Goma-Kongo.Leo asubuhi walifika Gisenyi.Huku taratibu za kuvuka mipaka zikiendelea kijana huyo alikuwa na watanzania wenzake akiwemo kaka yake waliyekuwa pamoja katika roli hilo la mizigo; baada ya kuchezacheza mpira kijana huyo aliamua kwenda kuogelea ziwani(lipo eneo hilo).
Hivyo kijana alielekea eneo moja karibu na hotel ya serena..alijirusha majini(diving)..basi alivyo-dive hakuweza kutokea tena hadi vijana walipoamua kufuatilia na kumkuta chini kabisa akiwa ameshakata roho.Maiti ya kijana huyo imehifadhiwa katika hospitali ya serikali-Gisenyi.Tunasubiri kesho(siku ya kazi) ili kwa kushirikiana na mamlaka husika tutoe taarifa ubalozi wa Tanzania-Kigali kuona taratibu za kusafirisha mwili hapo kesho..Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe.Amina
CHANZO CHA HABARI: mimi mwenyewe nipo eneo la tukio
Ndugu sio Hujuma,hao itakua wameenda na vijana wageni kwa safari za Goma,kwa kawaida tulishakatazwa na wenyeji tuaioge kwenye hilo ziwa,mgeni akiingia tu kwenye hayo maji akitoka ni maiti
Kwanini wageni wanakufa? Je wenyeji wakiingia hawafi?