Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Nimestahamili vya kutosha lakini imefika mahali ningependa wana Jf na watanzania wamuelwe mama Kibajuki nje ndani ndani nje .kutokea mika ya 70 ,lakini kwa leo nitadokeza kidogo tu kwa kumuliza mama kibajuki Unakumbuka katika ile mika ya 70 ukiwa nje ya Tz masomoni mzanzibar mmoja alipokwita Bibie na wewe ukakasirika ?kwa kutokujuwa nini maana ya Bibie tafsiri yake ? makubwa zaidi yatafuata baadae (yale ambayo mtu yakujifungia mchumbani na kuangusha lio) naimani unajuwa fika kuwa wazanzibar sio wapumbavu kiasi hicho na hilo unalijuwa (unalielewa) hata kabla hujaingia katika chama au serekali.