Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Wadau nisaidieni kujua huyu mwanadada aliko. Maana sauti yake nimeimiss sana. "Nikiripoti kutoka jijini Dar es Salaam ni mimi mtangazaji wako, Ufoo Saro wa ITV."
Pia
Jamaa aligharamia halafu aliporudi toka ughaibuni kakuta mzigo umeuzwa na mama mkwe.Alikoswakoswa na mumewe akapona, ana bahati sana.
Huyu dada Tangia amiminiwe "SHABA" sijamsikia tena.Wadau nisaidieni kujua huyu mwanadada aliko. Maana sauti yake nimeimiss sana.
Nikiripoti kutoka jijini dar es salaam ni mimi mtangazaji wako Ufoo Saro wa ITV.
Kweli Spencer Lameck hajulikani alipo.Na Spensa Lameck yuko wapi?
Wakati wa kampeni alikuwa anaripoti mafuriko ya Lowassa mwenzake Emmanuel Buhohela alikuwa anaripoti mafuriko ya "Yesu". Baada ya uchaguzi Buhohela akachukuliwa ikulu Spensa sijui aliishia wapiKweli Spencer Lameck hajulikani alipo.
George Marato je? Aitiviiiiiii MusomaaaaaWadau nisaidieni kujua huyu mwanadada aliko. Maana sauti yake nimeimiss sana.
Nikiripoti kutoka jijini dar es salaam ni mimi mtangazaji wako Ufoo Saro wa ITV.
Joji marato nadhani alidakwa na "TAKAKUU" kwa makosa ya Rushwa.George Marato je? Aitiviiiiiii Musomaaaaa
Inawezekana watu walimtonya apotee otherwise watu wasiojulikana wangempoteza kama Ben Saanane.Wakati wa kampeni alikuwa anaripoti mafuriko ya Lowassa mwenzake Emmanuel Buhohela alikuwa anaripoti mafuriko ya "Yesu". Baada ya uchaguzi Buhohela akachukuliwa ikulu Spensa sijui aliishia wapi
Wamachame ndio zao hizoJamaa aligharamia halafu aliporudi toka ughaibuni kakuta mzigo umeuzwa na mama mkwe.
Na Spensa Lameck yuko wapi?
Mbona yupo kwenye taasisi binafsi inayoitwa Agricultural Council of Tanzania (ACT).Inawezekana watu walimtonya apotee otherwise watu wasiojulikana wangempoteza kama Ben Saanane.
Jamaa aligharamia halafu aliporudi toka ughaibuni kakuta mzigo umeuzwa na mama mkwe.
Wakati wa kampeni alikuwa anaripoti mafuriko ya Lowassa mwenzake Emmanuel Buhohela alikuwa anaripoti mafuriko ya "Yesu". Baada ya uchaguzi Buhohela akachukuliwa ikulu Spensa sijui aliishia wapi