MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,316
- 25,453
Nimehamisha hela Jana kutoka Mpesa kwenda benki mpaka Sasa si meseji Wala hela imefika huko ,ukipiga kwenye namba yao ya 100 inakata yenyewe ,WhatsApp wanadai wanashughylikia tatizo ,hakika nimejuta