Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Naona vikundi vinaendelea kila kukicha, vijana wanakusanywa na kutumika sana wakati huu na watawala. Uchaguzi ukiisha wanarudi kwa ground tena kulalamika hali ngumu, hakuna nk.
===
Mtandao wa Vijana na Wanawake wa Taifa letu, Kesho yetu (TK Movement), Mei 3, 2025 wamekutana mkoani Dodoma ili kupeana mikakati na mbinu mbalimbali za kufikia lengo la kufanikisha ushindi wa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Mgeni rasmi katika tukio hilo ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Ally Hapi ambapo pamoja na mambo mengine wanachama wa mtandao huo watapata mafunzo katika semina hiyo kutoka kwa viongozi wa Mikoa na Wilaya wa TK Movement.
Mtandao huo unajihusisha na kuhamasisha jamii hususani vijana kufanya mapinduzi ya kifikra na uchumi nchini ili kujenga Taifa lao la kesho.
Source: TBC
===
Mtandao wa Vijana na Wanawake wa Taifa letu, Kesho yetu (TK Movement), Mei 3, 2025 wamekutana mkoani Dodoma ili kupeana mikakati na mbinu mbalimbali za kufikia lengo la kufanikisha ushindi wa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Mgeni rasmi katika tukio hilo ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Ally Hapi ambapo pamoja na mambo mengine wanachama wa mtandao huo watapata mafunzo katika semina hiyo kutoka kwa viongozi wa Mikoa na Wilaya wa TK Movement.
Mtandao huo unajihusisha na kuhamasisha jamii hususani vijana kufanya mapinduzi ya kifikra na uchumi nchini ili kujenga Taifa lao la kesho.
Source: TBC