Kwetu kaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 547
- 403
Takriban siku ya tatu sasa huu mtandao wa simu mtumiaji hawezi kujiunga na huduma yoyote zaidi ya kupigiwa simu apokee.
Tatizo nini au mshaufuta rasmi?
Tatizo nini au mshaufuta rasmi?
Jana nimejiunga na kifurushi cha Bufee dkk.80 smg.80Takriban siku ya tatu sasa huu mtandao wa simu mtumiaji hawezi kujiunga na huduma yoyote zaidi ya kupigiwa simu apokee.
Tatizo nini au mshaufuta rasmi?