Mtandao wa TIGO hongera kwa hili.

Mtandao wa TIGO hongera kwa hili.

Handsome Boy 2014

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
605
Reaction score
152
Heko Mtandao wa Tigo kwani kwa hili mmenifurahisha mimi kama mteja wenu.Huu utaratibu wa Tigo Wekeza ambapo mmeamua kugawa faida kwa wateja wenu kwakweli sina budi kuwapongeza.
Mara ya 1 mlinitumia sh.16,000/= kwenye Tigo Pesa, Mara ya pili sh.14,000/= na mara ya tatu sh.12,000/=.Hakika mnastahili pongezi.Kweli ni Express youself.
 
Pia kujiunga tigo-tigo sh 100 unaongea bila kikomo. Piga *148*00# huduma maalum
 
Back
Top Bottom